Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,268
- 1,593
Hajafanya vile kwa Bahati mbaya.kumbu kumbu ya kifo cha Baba wa Taifa wamezigeuza kuwa kumbu kumbu za aliye Hai.Yaani narudia kusema hakuna haja ya kujiandikisha wala kupiga kura kuanzia sasa.
Mbio za mwenge zimekuwa kampeni na kusifu na kuabudu kwanini mbio hizi zinakuwa za kichama badala ya kitaifa