Hizi Jumuiya zina faida gani kwa mwafrika mnyonge?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,884
Hatuna umoja na upendo.Rwanda and Uganda and Burundi bado wanasuguana.unajiuliza sasa nini faida ya kuwa EAC!!

Sisi tuko SADC na mwenyekiti ni Rais wa JMT, Afrika Kusini ni moja ya nchi za SADC. Wamekamata ndege yetu eti kwa sababu tunadaiwa.

Je, tulipewa notification juu ya kesi hii?
Je, uwanja wa ndege unalindwa na mahakama?

Jibu ni kwamba South Africa ambayo ni member wa SADC imekamata ndege yetu. Sasa najiuliza kuna faida gani kuwa SADC?

Tulikubaliana kuwa tutabadilishana wafungwa.Kwanini mahakama ya SA wasingewasiliana na mahakama yetu kama kweli SADC tuna umoja?

Hii inadhihirisha kuwa Jumuiya zetu bado changa sana kuikomboa Afrika kutoka utumwa wa umaskini! Uchumi wa SA uko juu kuliko wa Tanzania lakini bado unakandamiza maskini!! This is business.

Huyo mkulima akilipwa hizo bilioni SA itachukuwa chake (kodi).

Ni shauri kuwa tunapotafuta masoko ya ndege zetu tujihakikishie kuwa hatudaiwi na nchi hizo au watu wa nchi hizo.
 
Tuwe tunalipa Madeni ya watu.
In fact siyo madeni in such!!ni makesi ya ajabu tunayofunguliwa!!kabla ya kuchukuwa hatua juu mambo mengine tunatakiwa kuwashirikisha wanasheria wetu ili kuangalia madhara ya tunachotaka kufanya.
 
In fact siyo madeni in such!!ni makesi ya ajabu tunayofunguliwa!!kabla ya kuchukuwa hatua juu mambo mengine tunatakiwa kuwashirikisha wanasheria wetu ili kuangalia madhara ya tunachotaka kufanya.
Dawa ya deni ni kulipa
 
Hatuna umoja na upendo.Rwanda and Uganda and Burundi bado wanasuguana.unajiuliza sasa nini faida ya kuwa EAC!!

Sisi tuko SADC na mwenyekiti ni Rais wa JMT, Afrika Kusini ni moja ya nchi za SADC. Wamekamata ndege yetu eti kwa sababu tunadaiwa.

Je, tulipewa notification juu ya kesi hii?
Je, uwanja wa ndege unalindwa na mahakama?

Jibu ni kwamba South Africa ambayo ni member wa SADC imekamata ndege yetu. Sasa najiuliza kuna faida gani kuwa SADC?

Tulikubaliana kuwa tutabadilishana wafungwa.Kwanini mahakama ya SA wasingewasiliana na mahakama yetu kama kweli SADC tuna umoja?

Hii inadhihirisha kuwa Jumuiya zetu bado changa sana kuikomboa Afrika kutoka utumwa wa umaskini! Uchumi wa SA uko juu kuliko wa Tanzania lakini bado unakandamiza maskini!! This is business.

Huyo mkulima akilipwa hizo bilioni SA itachukuwa chake (kodi).

Ni shauri kuwa tunapotafuta masoko ya ndege zetu tujihakikishie kuwa hatudaiwi na nchi hizo au watu wa nchi hizo.
Kumbuka kuwa ndege ni vulnerable assets, moving assets. Unapodaiwa, yule anayekudai akiwa na vielelezo vyenye kujitosheleza anaweza kukamata ndege yao mahali popote pale.

Usiingize siasa kwenye suala hili ambalo ni taratibu za ulimwengu mzima. Serikali ijipange kulipa na maisha yataendelea kama kawaida.
 
Na Jumatano Wiki hii Shirika la Ndege la Uganda linarudi hewani hii ni baada ya kukaa miaka 18 lina fanya safari za karibu na za jumuiya
 
Mkuu, hiyo ni hukumu ya mahakama. Katika nchi zenye kuheshimu "check and balance" ndani ya mihimili ya serikali, bunge na mahakama, basi maamuzi ya mihimili mmoja huwa huru kabisa, wala Rais wa nchi husika hawezi kuingilia kati.

Katika hili wala uenyekiti wa Rais wetu wa SADC na urais wa Ramaphosa wala haviusiani na hukumu hiyo. Kwa kuwa ni kweli tulikuwa tunadaiwa, na sehemu ya deni ililipwa, kisha tukacha kulipa. Dawa ya deni ni kulipa, wewe ukimsikia mdeni sasa wako akijinasibu kuwa ni "donor country" utafanyaje sasa! Labda tumuombe kupitia ofisi ya AG tufanye naye " deed of settlement" na anayetudai nje ya mahakama, ili aweze kufikiria zaidi jinsi ya kuturudishia ndege yetu.
 
Hatuna umoja na upendo.Rwanda and Uganda and Burundi bado wanasuguana.unajiuliza sasa nini faida ya kuwa EAC!!

Sisi tuko SADC na mwenyekiti ni Rais wa JMT, Afrika Kusini ni moja ya nchi za SADC. Wamekamata ndege yetu eti kwa sababu tunadaiwa.

Je, tulipewa notification juu ya kesi hii?
Je, uwanja wa ndege unalindwa na mahakama?

Jibu ni kwamba South Africa ambayo ni member wa SADC imekamata ndege yetu. Sasa najiuliza kuna faida gani kuwa SADC?

Tulikubaliana kuwa tutabadilishana wafungwa.Kwanini mahakama ya SA wasingewasiliana na mahakama yetu kama kweli SADC tuna umoja?

Hii inadhihirisha kuwa Jumuiya zetu bado changa sana kuikomboa Afrika kutoka utumwa wa umaskini! Uchumi wa SA uko juu kuliko wa Tanzania lakini bado unakandamiza maskini!! This is business.

Huyo mkulima akilipwa hizo bilioni SA itachukuwa chake (kodi).

Ni shauri kuwa tunapotafuta masoko ya ndege zetu tujihakikishie kuwa hatudaiwi na nchi hizo au watu wa nchi hizo.
Umechanganya siasa na uchumi wa nchi vitu ambavyo sawa vinaendana ila havitangamani. Unaweza kuwa na siasa safi lakini wewe ni maskini au ukawa dikteta lakini kiuchumi unaenda vizuri. Wenzetu siasa zao wanafuata katiba na sheria za nchi hakuna cha urafiki. Sisi tumelelewa kwa kujuana na kubebwa.
 
Sasa kama mnadaiwa si mlipe? Mnataka mfanye SADC kama kichaka cha kujifichia msilipe hela ya watu? Mbona Magu alizuia makontena ya mchanga wa dhahabu? Muosha huoshwa
 
Wewe sio tu Viatu vya samaki ni Kichwa cha Samaki mwenyewe.
Mwanamume ni yule anaedaiwa kila kona. Naweza kusema huu ni uanaume wala siyo vibaya sisi kudaiwa ila yatupasa kuwa na utaratibu wa kupunguza haya madeni.
 
Back
Top Bottom