Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,791
- 3,717
Ndio mkuu vipo vifaa ukienda kwa fundi redio atakuwekea, bei ya hicho kifaa ni elfu kumi, ufundi elfu tano, sema anaweza kukudai elfu 20 ila ukinunua kifaa mwenyewe ukaenda nacho ufunsi buku tano tu ni kazi ya dk20 anakuwa amemalizaKitu old skuli mzee baba,uwezekano wa kifaa cha kuunga ku access bluetooth utawezekana hapo?