Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,791
- 3,719
Nilinunua kwenye makinia ya KC global links ( chriss lukosiUnanunulia mkoa gani
Nilinunua kwenye makinia ya KC global links ( chriss lukosiUnanunulia mkoa gani
Hii made in China.Zote nzuri, ila Malaysia ndio Hub inayozalisha hizo Electronics so ni Genuine. Hujafanikiwa kuitune vizuri tu. Mie yangu nilicheza nayo ikawa inatoa mziki balanced tu.
Naomba kama wana page Instagram au popote cheif. Wako Tz?Nilinunua kwenye makinia ya KC global links ( chriss lukosiView attachment 1677235View attachment 1677239
Kule kuna.makorokoro mengi sana yanatoka uk, download program ya telegram kisha seach KC team, pia mcheki huyu jamaa wa insta anakuwa na makinikia ya mziki sema bei zake ziko juu Login • Instagram. Ila kuna mahalinilikuta hizo amplifier za sony zinauzwa,karikaoo mtaa wa agreyNaomba kama wana page Instagram au popote cheif. Wako Tz?
Naomba kama wana page Instagram au popote cheif. Wako Tz?
Huu mziki mbona kama upo vizuri Boss au unakasoro?Sony HT DAV DZ 650 1000w made in China.
Huo mziki bado sijaridhika nao....View attachment 1677331
Hapo ndo nashindwa kujielewa hata mimi, sijui siridhiki nao au nimeshauzoea sana ndo sjajua hapo.Huu mziki mbona kama upo vizuri Boss au unakasoro?
Uko vizuri boss sema utakuwa umeshauchoka ila system yake inafanya kazi vizuri sana halafu sony wako vuzuriHapo ndo nashindwa kujielewa hata mimi, sijui siridhiki nao au nimeshauzoea sana ndo sjajua hapo.
Hapa Madini Matupu Kuhusu Music!!!
Awamu Hii Hapa Kazi Na Music Safi Inakubembeleza
Naomba msaada jinsi ya kutoa sauti kwenye TV isikike kwenye redio. Mfano nachek movie natumia flash iliyochomekwa kwenye Tv sasa nataka sauti ije kwenye redioSony HT DAV DZ 650 1000w made in China.
Huo mziki bado sijaridhika nao....View attachment 1677331
Leta mrejesho wa mziki wake, umeonaje?
Kitu cha polk sio safi sana bro...now km unaweza uza huu upgrade SVS ultra series or klipsch...AVR try Denon or Marantz.huu mzigo kama ndio uko sitting room,lazima heshima iwepo..uko simple but smart kweli kweli.
alafu jamaa naoma ni kama ana tawi tz,ila sio ofisi.View attachment 1676473
Leta mrejesho wa mziki wake, umeonaje?
Halafu mkuu. Sub inatakiwaga ikae chini ardhini. Hasa chini pembeni kidogo ya showcase au kwenye kona ya chumba chako.Naomba msaada jinsi ya kutoa sauti kwenye TV isikike kwenye redio. Mfano nachek movie natumia flash iliyochomekwa kwenye Tv sasa nataka sauti ije kwenye redio
Naweka picha ya system View attachment 1677375View attachment 1677376
Inakula umeme kawaida tu Boss bila shakaAwamu Hii Hapa Kazi Na Music Safi Inakubembeleza
Ukipata Hiyo Roho Inasuuzika, Vp Ulaji Umeme Nao Kwenye Vinu Vizito Mpaka Pressure Inapanda
Halafu mkuu. Sub inatakiwaga ikae chini ardhini. Hasa chini pembeni kidogo ya showcase au kwenye kona ya chumba chako.
Speaker za surrounding zinatakiwa zika nyuma ya chumba chako kwenye kona kwa kila moja. Ndio inaleta umaana wa home theater na uraenjoy vyema sound yako.