funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
MINGI IMEPITWA NA WAKATIMkuu ww miziki yote uliyonayo kwako bado unazunguka kutafuta mwingine?😂
Nafikiri wagonjwa wa miziki tanzania tuko wachache na wengi hatuzimudu gharama.
MINGI IMEPITWA NA WAKATIMkuu ww miziki yote uliyonayo kwako bado unazunguka kutafuta mwingine?😂
Nafikiri wagonjwa wa miziki tanzania tuko wachache na wengi hatuzimudu gharama.
Bro dual svs pb1000 mpaka vyombo kabatini vinacheza io svs pb16 si majirani wanakupeleka serikali za mtaa kabisa?anyway Kuna subwofer inaitwa JTR Captivator RS2 hio ndo my dream subwofer, wacha nijichange change someday ndoto zitatimia.
Nimewacheki mzee korokwincho hivi Bongo tunafeli wapi? Tuko nyuma sana kwenye hiyo sekta yaani mziki mkubwa kwa TZ ni Sony HT BDV N9200 nimezunguka week end yote kutafuta nimekosa mziki wa kueleweka
Kitu cha polk sio safi sana bro...now km unaweza uza huu upgrade SVS ultra series or klipsch...AVR try Denon or Marantz.
utazurula kama mbwa usiioneHivi Denon kwa bongo zinapatikana wapi?
Polk Audio nayo iko Quality sana, umeipata duka gani hii?kukariri tu,ndio yale yale ya kujaza mitecno na mi infinix kwenye meza,wakati kuna bland kibao za bei chee na ni bora kuzidi hayo matoy.
hii hapa chini jamaa anauza 1.3ml za kibongo.hata haiwezekani useme labda ni bei mkasi ndio maana hawaleti.View attachment 1680167
Mbona nimsearch hyo kc team huko telegram sijaona mkuu??Nilinunua kwenye makinia ya KC global links ( chriss lukosiView attachment 1677235View attachment 1677239
Polk Audio nayo iko Quality sana, umeipata duka gani hii?
Poa Ngoja Nitajaribu Kwa WajuziItakuwa mkanda wa kutoa tray umekatika au motor yake imeungua.
Mrejesho Ni Kuwa Motor Imeungua Baada Ya Kufunga Nyingine Tray Ya CD Sasa Hivi Inafunga/Kufunguka VemaItakuwa mkanda wa kutoa tray umekatika au motor yake imeungua.
Pamoja mkuuMrejesho Ni Kuwa Motor Imeungua Baada Ya Kufunga Nyingine Tray Ya CD Sasa Hivi Inafunga/Kufunguka Vema
Shukrani Ushauri Wako Umesimama Kwenye Ukweli
Huyu yupo njema katika brands zetu za kibongo, anafata nyuma baada ya Sony.
Wakati unashangaa Bei , Sony earphone 1000xm inauzwa laki 9 pale m city.
Hakuna kitu kinachoutwa "5.1 soundbar".Dah umetisha sana, Mimi niko n SoundBar Samsung 450 mziki safi uliotuli. Ila nataka nijichange tena ninuunue Sony 5.1 soundbar.
Mkuu hiyo soundbar ya JBL anayosemea huyu jamaa, acha kabisaMimi nina Soundbar ya Samsung aiseee ni balaaa. Hay mavitu acha tu yauzwe bei kubwa maana ni amsha mmo.