Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,872
- 38,494
Yaani mtu ana mziki wa gharama kuupangilia anashindwa. Huwaga wananitia hasira sana.😀 Hapa hata umaana wa kuwa na home theater hakuna.Hata me nimeshangaa kuona sub ipo juu ya showcase
Yaani mtu ana mziki wa gharama kuupangilia anashindwa. Huwaga wananitia hasira sana.😀 Hapa hata umaana wa kuwa na home theater hakuna.Hata me nimeshangaa kuona sub ipo juu ya showcase
Duh sasa nahofia kusambaza spika ili nyaya zisije zikaanza kukatiza sebule nzima na mpangilio wa geto hautakua mzuri. Istoshe magoma yataanza kujikwaa nyaya. Sjui labda nipokee ushauri zaidiHalafu mkuu. Sub inatakiwaga ikae chini ardhini. Hasa chini pembeni kidogo ya showcase au kwenye kona ya chumba chako.
Speaker za surrounding zinatakiwa zika nyuma ya chumba chako kwenye kona kwa kila moja. Ndio inaleta umaana wa home theater na utaenjoy vyema sound yako.
Naomba msaada jinsi ya kutoa sauti kwenye TV isikike kwenye redio. Mfano nachek movie natumia flash iliyochomekwa kwenye Tv sasa nataka sauti ije kwenye redio
Naweka picha ya system View attachment 1677375View attachment 1677376
Nimechomeka HDMI pekeeKwani hujachomeka optical wire kutoka kwenye sony kwenda kwenye Tv? Au umechomeka wire gani?
Hapo unachotakiwa kufanya ni hiviNaomba msaada jinsi ya kutoa sauti kwenye TV isikike kwenye redio. Mfano nachek movie natumia flash iliyochomekwa kwenye Tv sasa nataka sauti ije kwenye redio
Naweka picha ya system View attachment 1677375View attachment 1677376
Nimechomeka HDMI pekee
.Naomba msaada jinsi ya kutoa sauti kwenye TV isikike kwenye redio. Mfano nachek movie natumia flash iliyochomekwa kwenye Tv sasa nataka sauti ije kwenye redio
Naweka picha ya system View attachment 1677375View attachment 1677376
Unatakiwa utafute OPTICAL WIRENimechomeka HDMI pekee
Press Optcal Audio hapo utakuwa umemaliza kazi, hata kwenye deki itaandika OpticalHapo unachotakiwa kufanya ni hivi
weka flash kwenye tv , itafungua drive then play hiyo video
ukishamaliza washa radio yako inatakiwa iwe imewaka .
chukua hiyo remote control press upande wa kulia kitufe cha pili HDI una press hapo sauti itakuwa powah
Kamwe hutopata sauti Nenda kanunue OPTICAL WIRE tsh 10,000/= kama sio 15,000/= unachomeka kwenye tv na kwenye deki ya radio tatizo litakuwa limeisha
Unatakiwa utafute OPTICAL WIRE
optical wire ikoje hii???Kamwe hutopata sauti Nenda kanunue OPTICAL WIRE tsh 10,000/= kama sio 15,000/= unachomeka kwenye tv na kwenye deki ya radio tatizo litakuwa limeisha
Hongera na mfuko wako uko vyema sana.Umri umesogea niko mid 40s kuna baadhi ya vitu automatically vinapungua, pia wife anapenda akilala chumba kiwe na utulivu so nimeweka radio (Panasonic) ndogo ya kusikilizia BBC na magazeti asubuhi.
Miziki mikubwa nimeweka sebuleni (nina sebule mbili) na kila TV nimeiwekea Sound Bar za Sony
Show case ya kihuni kama hii safi sanaYaani mtu ana mziki wa gharama kuupangilia anashindwa. Huwaga wananitia hasira sana. Hapa hata umaana wa kuwa na home theater hakuna.
Vyombo vizito hivyo hizo wire za akina Aboda na akina BossMimi binafsi Optical wire iko safi sana.
Hii wire ina vichwa viwili tu , ukienda kwenye maduka ya radio utaipata Bossoptical wire ikoke hii???
mkuu,kwani si ni swala la mkwanja tuVyombo vizito hivyo hizo wire za akina Aboda na akina Boss
una maana iko hivi kote.Hii wire ina vichwa viwili tu , ukienda kwenye maduka ya radio utaipata Boss
Hizo hapo sample tofauti bali zinafananauna maana iko hivi kote.View attachment 1677420