Hizi Home theatre zinatengenezwa kwa teknolojia gani?

mimi nashangaa labda tunazidiana ujuzi jamani, maana mhhh redio za nyumbani zinachapa bana.

ndio niko hapa mara naambiwa hizo redio za magari zinatumia umeme maalum, sasa hii redio ya hivi inaweza kupambana na vyuma vya kwenye socket kweli!!

Inaeza kuwa inatumia direct kwenye socket ila bado ikawa na nguvu kidogo ...kifupi hakuna amp ya gari isiojiweza hata ukichukua ile ndogo kabisa bado ni balaa tofaut na majumbani
 
wakuu msaada wenu naweza pata wapi ii systeam na iwe original na kwa bei nzur
IMG_4070.png
 
Hahah hatar mzee..kuna jamaa wang juzi kaagiza hyo soundbar ya jbl..1.6M unaambiwa hutamani kutoka nje

Kwel kizur gharama...sasa utakuta mtu na seapeano mtaani anatamba mwenyew

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Jamani tuulize na sie tusiokua na uelewa hivi unaposema sound bar inakua na vitu gani na vitu gani hasa ,1 je inashika fm radio2, inaruhus kutumia hizo flash memory na etc Manake mie mlevi sana wa fm radio
 
zimejaa kkoo,hii ni dav 350.
bei yake ni 550k

kanuni ni ile ile,mtafute mwenye nayo uijue vilivyo kisha enda dukani ukiikuta test.
angalizo,hakikisha kuna brand nyingine kubwa dukani hapo.

kaka ii model no ni BDV-E2100
au unanipa ushauri nichukue model gani na duka gani unalojua nitapata og kwa bei nzuri niagize mtu maana mm nipo mkoani, pia izi speaker ndefu na fupi ipi nzuri asante naomben ushauri wenu wakuu
 
kaka ii model no ni BDV-E2100
au unanipa ushauri nichukue model gani na duka gani unalojua nitapata og kwa bei nzuri niagize mtu maana mm nipo mkoani, pia izi speaker ndefu na fupi ipi nzuri asante naomben ushauri wenu wakuu
urefu wa speaker ni muundo tu,zote tatu ni watts 1000.kuna speaker 4 ndefu,kuna speaker mbili ndefu,kuna isiyo na speaker ndefu.

kuna jamaa wanajiita lampard electronics,unaweza wacheki instagram,ukajionea zaidi.
 
Jamani tuulize na sie tusiokua na uelewa hivi unaposema sound bar inakua na vitu gani na vitu gani hasa ,1 je inashika fm radio2, inaruhus kutumia hizo flash memory na etc Manake mie mlevi sana wa fm radio

Pole sana mkuu
Lakini nikupe Hongera kwa kupenda kujifunza

Sound bar ni kifaa ambacho kwa mwanzoni kili buniwa kuja kuongeza nguvu ya sauti ya television yako!
Mfano umeweka flat tv yako ila kama ujuavyo saut yake haiwi na nguvu
Ndio wakabuni hi sound bar
Kimuonekano ni kama mnyumbulisho wa jina lake
Sound (bar) yaani ni
Sound ni mziki
Na bar ni kama kibox au bar
Nashindwa namna yakuelezea kwa lugha yetu
Na hiyo bar inawekwa mbele ya tv yako ili ikupe sauti kubwa zaidi
Baadae wakaja kuifanyia update wakaipa na bass speaker pembeni ili ikupe na bass kidogo masikioni ikiwa unasikiliza musiki
Hizo sound bar zinakuja na features tofauti ikitegemeana na matakwa ya mtengenezaji akilenga soko na faida
Kuna nyingine zinakuja na fm ,Bluetooth, HDMI, na optical cable
Achana na wireless connection kati ya tv na sound-bar
Na kuhusuuwezo wake
Inategemeana na watts yake
Naposema watts namaanisha powerful
Ikiwa na watts 50 itapiga kwanguvu zaidi kuliko na itatumia umeme mwingi kuliko yenye watts 30
Faida yake ni kua
Rahisi kuiset kwakua haina connectivity’s nyingi outside
Ila haina surround!!!! Unajua maana ya surround,.
Uliwah kuvaa earphone ukawa unasikiliza music
Utagundua kuna vitu vinapishana masikioni kulingana na producer alivyotengeneza nyimbo husika!! Sasa ile ndio surround
Huwez kuipata kwasababu speaker zote zipo kwenye bar moja au sehemu moja.

Nnaiman nimekuongezea kakitu kidogo
IMG_3055.jpg
 
Pole sana mkuu
Lakini nikupe Hongera kwa kupenda kujifunza

Sound bar ni kifaa ambacho kwa mwanzoni kili buniwa kuja kuongeza nguvu ya sauti ya television yako!
Mfano umeweka flat tv yako ila kama ujuavyo saut yake haiwi na nguvu
Ndio wakabuni hi sound bar
Kimuonekano ni kama mnyumbulisho wa jina lake
Sound (bar) yaani ni
Sound ni mziki
Na bar ni kama kibox au bar
Nashindwa namna yakuelezea kwa lugha yetu
Na hiyo bar inawekwa mbele ya tv yako ili ikupe sauti kubwa zaidi
Baadae wakaja kuifanyia update wakaipa na bass speaker pembeni ili ikupe na bass kidogo masikioni ikiwa unasikiliza musiki
Hizo sound bar zinakuja na features tofauti ikitegemeana na matakwa ya mtengenezaji akilenga soko na faida
Kuna nyingine zinakuja na fm ,Bluetooth, HDMI, na optical cable
Achana na wireless connection kati ya tv na sound-bar
Na kuhusuuwezo wake
Inategemeana na watts yake
Naposema watts namaanisha powerful
Ikiwa na watts 50 itapiga kwanguvu zaidi kuliko na itatumia umeme mwingi kuliko yenye watts 30
Faida yake ni kua
Rahisi kuiset kwakua haina connectivity’s nyingi outside
Ila haina surround!!!! Unajua maana ya surround,.
Uliwah kuvaa earphone ukawa unasikiliza music
Utagundua kuna vitu vinapishana masikioni kulingana na producer alivyotengeneza nyimbo husika!! Sasa ile ndio surround
Huwez kuipata kwasababu speaker zote zipo kwenye bar moja au sehemu moja.

Nnaiman nimekuongezea kakitu kidogo View attachment 1791512
Asante nimekupata mie tv yang smart ina sauti moja nzuri sana na imeandikwa harman kardon kwa juu
 
Pole sana mkuu
Lakini nikupe Hongera kwa kupenda kujifunza

Sound bar ni kifaa ambacho kwa mwanzoni kili buniwa kuja kuongeza nguvu ya sauti ya television yako!
Mfano umeweka flat tv yako ila kama ujuavyo saut yake haiwi na nguvu
Ndio wakabuni hi sound bar
Kimuonekano ni kama mnyumbulisho wa jina lake
Sound (bar) yaani ni
Sound ni mziki
Na bar ni kama kibox au bar
Nashindwa namna yakuelezea kwa lugha yetu
Na hiyo bar inawekwa mbele ya tv yako ili ikupe sauti kubwa zaidi
Baadae wakaja kuifanyia update wakaipa na bass speaker pembeni ili ikupe na bass kidogo masikioni ikiwa unasikiliza musiki
Hizo sound bar zinakuja na features tofauti ikitegemeana na matakwa ya mtengenezaji akilenga soko na faida
Kuna nyingine zinakuja na fm ,Bluetooth, HDMI, na optical cable
Achana na wireless connection kati ya tv na sound-bar
Na kuhusuuwezo wake
Inategemeana na watts yake
Naposema watts namaanisha powerful
Ikiwa na watts 50 itapiga kwanguvu zaidi kuliko na itatumia umeme mwingi kuliko yenye watts 30
Faida yake ni kua
Rahisi kuiset kwakua haina connectivity’s nyingi outside
Ila haina surround!!!! Unajua maana ya surround,.
Uliwah kuvaa earphone ukawa unasikiliza music
Utagundua kuna vitu vinapishana masikioni kulingana na producer alivyotengeneza nyimbo husika!! Sasa ile ndio surround
Huwez kuipata kwasababu speaker zote zipo kwenye bar moja au sehemu moja.

Nnaiman nimekuongezea kakitu kidogo View attachment 1791512
Mkuu soundbar kama ya Samsung q950t zina teknolojia ambayo inaproduce sorround ya kufa mtu pia zina wireless rear speaker..kwahiyo sio kweli kuwa soundbar haziwezi kukupa sorround sound..
 
Ilikua 1.5M ila kuna namna unachezesha pale...Si unajua mjini hapa.
Ebwana Extrovert ww nime 🙌 namm nilinunua kiivyo kimjini mjini 2013 kuna (Kupata) mmoja pale dah namkubali sana, lkn roho inauma Game wanasepe aisee, vitu oG ni mtihani, na Sony pale samora hawapo, now dayz wapo wapi sijui....but unyama wa Mugongo Samsung HW-T550 ni habari nyingine
 
Back
Top Bottom