Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Hivi karibuni kumeibuka sex scandals huko USA ambapo watu maarufu hasa Hollywood kama film producer H. Weistein, actor Kevin Spacey wanashutumiwa kuwalazimisha Wanawake bila ya idhini yao, lkn najua hawa ni sadaka tu lkn anayetafutwa hapo ni D.Trump!
Baada ya kumtafuta kila mahali ili wamuondoe na kugonga mwamba kuanzia uhusiano na Putin mpaka mambo ya sijui racism sasa wanajiandaa na kubwa kuliko, watajitokeza Wanawake ambao watasema D.Trump aliwashika kinyume na matakwa yao, na kuanza impeachment, lkn D.Trump ni fighter hawatamuweza.
Mungu mlinde D.Trump dhidi ya wapinga kristo, Afrika inamuhitaji D.Trump bila ya Trump sasa hivi Kenya kungekuwa na Vita kama 2007/08 ambapo evil Obama na Clinton walidhamiria kuingamiza Afrika, walimuua Gadafi na kuleta Arab spring, wakafadhili boko haram pmj na Isis, Amani ipo Afrika na Duniani kwa sababu ya D. Trump, ...
Baada ya kumtafuta kila mahali ili wamuondoe na kugonga mwamba kuanzia uhusiano na Putin mpaka mambo ya sijui racism sasa wanajiandaa na kubwa kuliko, watajitokeza Wanawake ambao watasema D.Trump aliwashika kinyume na matakwa yao, na kuanza impeachment, lkn D.Trump ni fighter hawatamuweza.
Mungu mlinde D.Trump dhidi ya wapinga kristo, Afrika inamuhitaji D.Trump bila ya Trump sasa hivi Kenya kungekuwa na Vita kama 2007/08 ambapo evil Obama na Clinton walidhamiria kuingamiza Afrika, walimuua Gadafi na kuleta Arab spring, wakafadhili boko haram pmj na Isis, Amani ipo Afrika na Duniani kwa sababu ya D. Trump, ...