Hizi herufi kwenye thread ni virus?..

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Dec 28, 2010
1,259
117
Salaam JF!
Kila niki Quote thread au niki edit thread kuna herufi kama hizi <br />
Zinatokea <br />.
Nimechunguza hata kwa wachangiaji wengine zimekuepo kwenye uzi zao
Ndio virus au nani anazituma huko?
 
ni data language space na mpaka sasa hilo tatizo linaendelea kutatuliwa..
 
zinakera kweli!
Mbona baadhi ya post au thread hazitokei?
Muda sasa imetukia!
 
Naona hizo mara nyingi hutokea ukitumia mobile phone ku reply quote au ukii edit post.
 
Ni sehemu ya html language ikimaanisha (page) break. Technically hazipaswi kuonekana kwenye view ya kawaida.
 
Sorry! Nilikuwa najaribu kuzifuta.
Salaam JF!<br />
Kila niki Quote thread au niki edit thread kuna herufi kama hizi &lt;br /&gt;<br />
Zinatokea &lt;br /&gt;.<br />
Nimechunguza hata kwa wachangiaji wengine zimekuepo kwenye uzi zao<br />
Ndio virus au nani anazituma huko?
:)
 
Kuna technical problems ambazo hata Invisible if not Maxence (katika jukwaa la complaints) zipo kwa mobile users... ambazo zingesababisha wasiwe na access ya JF.. Hivo at the time being wakitengeneza wameona it is better hizo alama ziendelee kuwepo kuliko mobile users wakose kabisa ku access JF.
 
AshaDii kwa hiyo hizo alama ni ajili ya msaada kwetu tunaotumia Mobile phone?
 
Inab&#305;d&#305; tuwe na sub&#305;ra jaman&#305;,tat&#305;zo l&#305;nashughul&#305;k&#305;wa
 
Mbona mimi huwa hazitokei?<br />
&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Kumbe hizi alama ni msaada kwa sisi mobile users! JF wana tujali sana.
 
Inab&#305;d&#305; tuwe na sub&#305;ra jaman&#305;,tat&#305;zo l&#305;nashughul&#305;k&#305;wa
<br />
<br />
Tangu hizi alama zimeanza ni mda mrefu sasa hutukujulishwa kama errors zinazojitokeza!
Na huo mda wakusubiri hadi tatizo limalizwe kushughulikiwa ni lini?
 
AshaDii kwa hiyo hizo alama ni ajili ya msaada kwetu tunaotumia Mobile phone?


ha ha ha... Umenisoma vibaya Mkuu...

Ni sababu ya techniqal probs hapa JF wenyewe kwa Mobile Users.... (nazungumza tokana na majibu walitoa)
 
Salaam JF!
Kila niki Quote thread au niki edit thread kuna herufi kama hizi <br />
Zinatokea <br />.
Nimechunguza hata kwa wachangiaji wengine zimekuepo kwenye uzi zao
Ndio virus au nani anazituma huko?
Hiyo ni web page html code for line break. Inawezekana wakati wa ku-quote unaweka text yako sehemu isiyo sahihi thats why hizo code zinatokea. jaribu kueka text yako after neno"[/QUOTE] "
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom