Hizi hapa ndege za Fokker 28 na fokker 50 ndege za Rais TZ Magufuli

Ila Magufuli pamoja na mapungufu yake lakini anapiga mzigo. Hakuna aliyetegemea ndani ya miaka mitatu kufanya haya. Sasa atoe uhuru wa siasa, bunge live na katiba mpya amalize kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Jamaa anajitahidi sana, mfano ukiona alivyoibadilisha Dar kwa muda mfupi aisee huwezi amini.
 
Ila Magufuli pamoja na mapungufu yake lakini anapiga mzigo. Hakuna aliyetegemea ndani ya miaka mitatu kufanya haya. Sasa atoe uhuru wa siasa, bunge live na katiba mpya amalize kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri ni suala la vipa umbele tu. Wale wengine baada ya Mwinyi sidhani kama wangeshindwa.

Pia waliogopa kudumaza uchumi wa ndani. Kuna foundation waliiweka pia iliyopelekea kuweza kutimiza malengo ya sasa. Mfano mkapa kuanzisha TRA, ndio inamuwezesha JPM atimize ya kwake. JK na barabara, nakifiri kwa kipindi chake asinge eleweka kama angekimbilia ndege.
 
Back
Top Bottom