Nipe Andiko
Senior Member
- Jan 20, 2017
- 133
- 133
Habari zenu wakuu? ...
Huu ni wakati ambapo vyuo vikuu vingi vimeanza kupokea maombi ya kujiunga na kozi mbalimbali, na baadhi ya watu wanapata shida jinsi gani wanaweza kuomba vyuo wanavyotaka, mfano jinsi ya kupata link ya chuo husika, n.k
Hapa nimeweka baadhi ya links za vyuo, kama ifuatavyo;
Kufanya application chuo kikuu cha Udsm bofya hapa, UDSM Admission
Kufanya application chuo kikuu cha Udom bofya hapa, UDOM OAS | Welcome
Kuapply chuo kikuu cha Ardhi bonyeza link hii hapa, ARU Admission
Kama unataka kuapply chuo kikuu cha Mzumbe, bofya hapa MU OAS | Registration
Karibuni wadau tusaidiane kuongezea links nyingine za vyuo vikuu mbalimbali, na namna ya kufanya applications kwa chuo husika.
Huu ni wakati ambapo vyuo vikuu vingi vimeanza kupokea maombi ya kujiunga na kozi mbalimbali, na baadhi ya watu wanapata shida jinsi gani wanaweza kuomba vyuo wanavyotaka, mfano jinsi ya kupata link ya chuo husika, n.k
Hapa nimeweka baadhi ya links za vyuo, kama ifuatavyo;
Kufanya application chuo kikuu cha Udsm bofya hapa, UDSM Admission
Kufanya application chuo kikuu cha Udom bofya hapa, UDOM OAS | Welcome
Kuapply chuo kikuu cha Ardhi bonyeza link hii hapa, ARU Admission
Kama unataka kuapply chuo kikuu cha Mzumbe, bofya hapa MU OAS | Registration
Karibuni wadau tusaidiane kuongezea links nyingine za vyuo vikuu mbalimbali, na namna ya kufanya applications kwa chuo husika.