lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,343
Wewe tangu june 2018 unafanya mchakato wa kununua hadi leo bado unatafuta ushauri. Amka toa hilo godoro hapo sebuleni shemeji apite.
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Wewe tangu june 2018 unafanya mchakato wa kununua hadi leo bado unatafuta ushauri. Amka toa hilo godoro hapo sebuleni shemeji apite.
Komaa nayo tu.Kuna siku kadhaa namtokea manzi fulani lakini kazuzuka na jamaa wa ki-baby walker.Nilikuwa naenda kwa mguu na kuzuga maeneo hayo kaniona fala.Duh! Acha nikomae tu na boxer
Hili ndio buti la jeje?Huyo ni ndugu yake Porte
View attachment 1504290
Komaa nayo tu.Kuna siku kadhaa namtokea manzi fulani lakini kazuzuka na jamaa wa ki-baby walker.Nilikuwa naenda kwa mguu na kuzuga maeneo hayo kaniona fala.
Nilimtokea kitu cha mjerumani kila mara maeneo hayo kama vile sina stori naye.Kaingia kingi na kushoboka nikaenda kumla kama x 2 hivi nikapiga chini.
Kila siku simu simu,sms sms mimi wala sijali.Mwishowe nikamwambia aendelee na jamaa wa vi-baby walker.Na tunaonana kila mara na wamerudiana na fala mwenzake.
Sitakagi ujinga mimi.
Mademu wengine wajinga sana kwa kushoboka shoboka bila kujiuliza.
Wamaume msiweke kambi za kifala,utazunguka bucha zote lakini nyama ni zile zile!!!!
Tusipotoshane,ukimwi bado u
Tunayo mkuu, amini hili
Hizo gari ist,Passo, porte na funcargo lazima trafiki awasimamishe hata mara 10 kwa sikuKuna rafiki yangu kanunua IST mupyaa, ila kila tukiipanda lazima tusimamishwe na traffic.. Hivi vi baby walker vinachukuliwa poa sana na wengi.
Imekaa kama ndula ya mtoto
Ha ha haNdio hivyo mkuu.
maana kwa mfano ukiwaelezea kuhusu mshahara wako watajitokeza watu na kusema wanapata mara 10 ya wewe,na watajitokeza wengine na kusema huo mshahara wako wanaingiza kwa siku moja tu.
Lakini ukifuatilia uhalisia kumbe hata elfu 10 hana.
Sasa mleta mada atupe mwongozo wa aina za magari ambayo tunapaswa kuendesha.Ha ha ha
Daah mkuu taratibu naona shemeji anapiga honi hapa,acha nikamfungulie geti then nioshe hii gari yake huku nikiomba aniwekee ule wimbo wa SITABAKI KAMA NILIVYO wkt namuoshea ndinga yake aisee.Hiyo ndio jf mkuu, ukiwa humu ndani usishangae kusikia kijamaa kina ponda vibaby walker, na wakati huo mpondani ameka sebuleni kwa shemeji yake na usijuye ndio kamaliza kunyoosha nguo za mume wa dadaake
Daah tunaoendesha hivi vidubwasha vya shemeji mmetuweza leo mkuu.Wenye hivi vidubwasha Wana vurugu sana barabarani
Usijali Wanyonge tuko wengi mkuu.
Wewe unaishi bongo sehemu gani? Tuanzie hapa kwanza?Una akili wewe?
Sasa unafananisha barabara za Europe na makorongo ya Bongo?
Hapa Bongo lami ipo sehemu ngapi, gari Hata ukiambiwa upeleke kilo 25 ya Mchele kwa mama mkwe haiendi inashuka usawa wa lami, hapo hujaingia local roads kijijini
Hizi ni dharau sasa jamani. Unajua hii gari ni zaidi ya milioni 12
Yani nina haka kagari na nakapenda mno, ila umenichekesha sana sana eti ukipiga horn wanalazimika kufungua gate. Ukweli ni kwamba nakapenda kwakuwa kanarahisisha gharama za maisha, ila hakana nguvu hakako comfortable kama BMW 5 series nililowahi kabla sijayumba kidogoMkuu pole sana ila ndo ukweli. Haka ka gari ukiacha maelekezo home wakaoshe utakuta beki 3 kakatenga kwenye beseni anakasugua na dodoki. By the way hivi haka ukipiga honi kuingia home wanalazimika kufungua geti lote kaingie au inatosha kufungua kile ki mlango cha geti kidogo kwa ajili ya matumizi ya watu?
Structure ya gari ninayomiliki...... Aisee ntakulogaHakuna mahali tumejadili ''Price'' tumejadili ''structure''
kama inauma chomoa mkuuHalafu mmeisema passo hadi roho imeniuma.