minze manonu
Member
- Nov 27, 2013
- 50
- 16
Leo gari yangu ilifungwa kwa kosa la kupaki sehemu isiyotakiwa, hapakuwa na alama yeyote kama hapatakiwi kupaki gari. Niliporudi nilitakiwa kwenda manispaa kulipia laki moja, rushwa haitaisha kwa mifumo mibovu kama hii, ni kweli kosa langu linaendana na fain inayotozwa?