kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Bila kumumunya maneno hebu nieleze maana ya neno dikteta
a ruler with total power over a country, typically one who has obtained control by force.
Kwanza fulani wa nchi ili ni dikteta kwa sababu
Anakataza mikutano
Anawalazimisha wasimamizi wa uchaguzi kuwatangaza wanachama wake wa uchaguzi wakati tunafaham uchaguzi unapaswa kuwa huru na wa haki
Haruhusu uhuru wa vyombo vya habari
Hapendi upinzani
Kuwatisha watu wasiandamane
Lugha ya vitisho vya mauaji
Kulingana na jarida la foreign policy?ili kujuwa kiongozi wako ni dikteta tizama hizi dalili na sifa
1. Systematic efforts to intimidate the media.Jee tanzania huyu wetu serikali yake si inafanya haya...jibu ni ndio
2. Building an official pro- media network.Kama huyu wetu anavyopenda kusifiwa muda wote.Kweli
3 Politicizing the civil service, military, National Guard, or the domestic security agencies.Sasa hivi polisi wamekua kama ni ccm wake au hata usalama wa taifa Jibu ni Ndio
4 Using government surveillance against domestic political opponents.:Ndio
5:Using state power to reward corporate backers and punish opponents. Mambo ya kuunga mkono juhudi hayo na vyeo
6.Stacking the Supreme Court. Ni kama huyu wetu anavyoanza sahv kuchagua majaji waunga mkono juhudi
7. Enforcing the law for only one side.Mmeona mambo hayo yaani akiamka hajali sheria wala nini ataforce wee ili tu atimize maslah yake au chama chake mvunja sheria
8. Really rigging the system.yaani huyu anayo kabs 100%
9. Fearmongering.:kuwaogopa wapinzani kutukana nchi za nje mabeberu kwa uoga wa kutafuta huruma ya umma
10 Demonizing the opposition.yess hii imeeleweka
Read more
a ruler with total power over a country, typically one who has obtained control by force.
Kwanza fulani wa nchi ili ni dikteta kwa sababu
Anakataza mikutano
Anawalazimisha wasimamizi wa uchaguzi kuwatangaza wanachama wake wa uchaguzi wakati tunafaham uchaguzi unapaswa kuwa huru na wa haki
Haruhusu uhuru wa vyombo vya habari
Hapendi upinzani
Kuwatisha watu wasiandamane
Lugha ya vitisho vya mauaji
Kulingana na jarida la foreign policy?ili kujuwa kiongozi wako ni dikteta tizama hizi dalili na sifa
1. Systematic efforts to intimidate the media.Jee tanzania huyu wetu serikali yake si inafanya haya...jibu ni ndio
2. Building an official pro- media network.Kama huyu wetu anavyopenda kusifiwa muda wote.Kweli
3 Politicizing the civil service, military, National Guard, or the domestic security agencies.Sasa hivi polisi wamekua kama ni ccm wake au hata usalama wa taifa Jibu ni Ndio
4 Using government surveillance against domestic political opponents.:Ndio
5:Using state power to reward corporate backers and punish opponents. Mambo ya kuunga mkono juhudi hayo na vyeo
6.Stacking the Supreme Court. Ni kama huyu wetu anavyoanza sahv kuchagua majaji waunga mkono juhudi
7. Enforcing the law for only one side.Mmeona mambo hayo yaani akiamka hajali sheria wala nini ataforce wee ili tu atimize maslah yake au chama chake mvunja sheria
8. Really rigging the system.yaani huyu anayo kabs 100%
9. Fearmongering.:kuwaogopa wapinzani kutukana nchi za nje mabeberu kwa uoga wa kutafuta huruma ya umma
10 Demonizing the opposition.yess hii imeeleweka
Read more
10 Ways to Tell if Your President Is a Dictator
Just because the United States is a democracy now, it doesn’t mean it will stay that way.
foreignpolicy.com