MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,169
Mara nyingi Dr Magufuli amekuwa akitumia jina lake kama sehemu ya kampeni. Yaonekana kisha gundua kwamba neno CCM haliuziki kama jina lake la Magufuli. Wapambe pia wanalitumia jina na mafanikio yake, na mara nyingi sana wanakwepa kutumia jina la CCM ili kuonyesha mafanikio ya chama. Hatimaye Magufuli anatoa ahadi kama zile za J.K Nyerere Desemba 9, 1961. Leo hii Magufuli anaahidi kujenga viwanda bila maelezo tunayofahamu kwamba viwanda vilishajengwa vikafa!
Katika hali hii ya sasa, Nape naye kisha toweka kabisa ktk kampeni za uchaguzi. Yawezekana kakimbilia jimboni kujitetea lakini ktk kipindi hiki, ni aibu kwa chama kizee kama CCM kujivunia amtendo ya waziri mmoja tu badala ya mafanikio ya chama ktk miaka zaidi ya 50 ya utawala. Hii inaonyesha tuendako kwa utawala wa chama hiki ni matatizo tupu.
Nashauri wana CCM kama ilivyofanya KANU, hameni chama. Ingieni vyama vingine na kuachana na jina la CCM. Hili jina haliuziki tena.
Katika hali hii ya sasa, Nape naye kisha toweka kabisa ktk kampeni za uchaguzi. Yawezekana kakimbilia jimboni kujitetea lakini ktk kipindi hiki, ni aibu kwa chama kizee kama CCM kujivunia amtendo ya waziri mmoja tu badala ya mafanikio ya chama ktk miaka zaidi ya 50 ya utawala. Hii inaonyesha tuendako kwa utawala wa chama hiki ni matatizo tupu.
Nashauri wana CCM kama ilivyofanya KANU, hameni chama. Ingieni vyama vingine na kuachana na jina la CCM. Hili jina haliuziki tena.