Hivyo viwanda 4000 vilivyojengwa awamu ya 5 mbona sivijui, nafahamu kiwanda cha Dangote tu cha awamu ya 4

Inategemea sana na maana yako ya kiwanda. Wengi hutegemea vile viwanda vya industrial revolution age ambapo kiwanda kinakuwa kiko kwenye eneo la zaidi ya eka moja na moshi unafuka kwenye majengo yake. Lakini viwanda vingi vya age hii huwa viko ndani ya plot moja tu na wala havitoi moshi kabisa.
Kweli mkuu cherehani haiwezi kutoa moshi na sebuleni inatosha vizuri tu haiitaji hata nusu heka
 
Unazungumzia viwanda vya kulipwa 3500, 5500 mpaka 6300 kwa siku? Unaingia saa 1:30 unatoka saa 12:30 jioni. Serikali inabidi iangalie malipo ya wafanyakazi. Mfanyakazi anatakiwa alipwe 10,000 kwa siku.
Dumu la rita 5 la mafuta ya kupikia lilikuwa 15,000 ila sasa ni 25,000 mpaka 30,000. Malipo ni yale yale
Haya ndo ya kujadili.. Tusiseme hamna viwanda.
 
Acha ufa.la
Kwakua wew hujaviona unahis havipo....

na Tatizo hujaamua kutembea
Viwanda viko viing sana..hapo kutoka mbagala mpaka kibiti peke yake kuna viwanda nadhan vinafika 100...vya cement ndo usiseme...

Haya..nenda mkoa wa pwan kuanzia kibaha had chalinze..achana vya barabaran kule...ingia ndan ndan ugakuta wachina huko kibao.viwanda vya nondo .gypsum etc...sie wengne tushaenda had omba tenda za ku supply malighafi huko

Vijana achen porojo za ki.senge
Wewe ndo unayetaka kuongea ujinga.viwanda 4000 unavifahamu wewe au unafikiri 4000 ni 400.
 
siku moja jitahidi funga safari toka mbagala had kibiti tu halafu uje nihesabia idadi ya viwanda utakavyopishana navyo
 
Magufuli alikuwa ni populist aliejificha kwenye chaka la siasa za propaganda ili aonekane kuwa ni mchapa kazi kumbe ni fisadi mkubwa,mwizi wa kutupwa na mzembe wa kulinda rasilimali za uma.Asante CAG kwa kuibua uhalisia wa Magufuli!
 
Back
Top Bottom