Hivi Zitto Kabwe tangu aanze siasa amewahi kulala rumande?

Kwani kwenda jela ndio sifa ya mwanaume!!?? Mawazo ya kishamba kabisa ni sawa na mawazo ya wahuni was mtaani kama hujawahi kwenda segerea wanakuona kama sio mjanja.
 
Siasa zina muda wake wa ku-take high risks na kuwa moderate.

Zitto alichukua risks enzi za 2005, sasa hivi ana familia inamtegea kwahiyo maisha yake siyo yake peke yake tena.

Hata Mnyika sasa hivi anasindikiza tu siku, ameshastaafu siasa kali.

Tatizo la vijana wengi wa CDM ni nyumbu wasionitambua na wasiojua kusoma alama za nyakati. Hata kama ukiwa sahihi kiasi gani, mtawala akiwa chizi utauliwa na hakuna kitu utapata na watu wengine wataendelea na maisha yao.

Yuko wapi Mawazo ????

Anyway, Vijana wa CHADEMA kuwekwa JELA na MAHABUSU ni mojawapo ya CV ya ukamanda wakati yeye Zitto anaamini kwenye akili na Hoja zake kwasasa.

View attachment 1895252
Hoja dhaifu sana hii kwa hiyo kila MTU mwenye familia angekuwa anajiweka mbali hayo mabadiliko yaliyoletwa na wachache waliopigania yangetoka wapi.
Nyerere aliyekuwa anaongoza mapambano ya kudai Uhuru angesema akae kando sababu ana familia ingekuwaje?
 
Kuna wakati polisi walimsubiri nje ya bunge ili akitoka tu wamkamate, Zitto Kabwe akagoma kutoka ukumbini ikabidi Spika Ndugai ampe lift hivyo akanusurika kukamatwa.

Zitto Kabwe anataka kuwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini lakini anaogopa sana " jela" sasa kwa uwoga huo atawaongozaje wapinzani kudai katiba mpya?!

Mwamba wa Upinzani ataendelea kuwa Freeman Mbowe!
Au yule jamaa muoga kama kunguru lissu. Tangu apigwe bunduki anataka sera ya chadema iwe yeye kupigwa risasi 16 🤣🤣
 
Hajaingia kwenye kumi na nane ,ila Zito kabwe jamaa mzito sana kwa mambo ya dawa za kienyeji ,dawa asilia aka Nyungu ,unakuta vyombo vyote na wakuu wao wanaimani za kinyungunyungu,madaktari wao weshawambia cheza na wote ila kama unataka kwenda akhera mbambakizie Zito kesi kisha umkamate ,unaambiwa waganga nja aka madaktari wa kienyeji wanamuogopa.
Ka hamjui waganga kibao weshafariki wao na wateja wao.
 
Kuna wakati polisi walimsubiri nje ya bunge ili akitoka tu wamkamate, Zitto Kabwe akagoma kutoka ukumbini ikabidi Spika Ndugai ampe lift hivyo akanusurika kukamatwa.

Zitto Kabwe anataka kuwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini lakini anaogopa sana " jela" sasa kwa uwoga huo atawaongozaje wapinzani kudai katiba mpya?!

Mwamba wa Upinzani ataendelea kuwa Freeman Mbowe!
Kuna Watu Elimu zenu za Vyuo Vikuu mnazozimiliki huwa zinanipa Mashaka sana.

Hivi ni Scientific Study gani imefanyika na ikagundua kuwa ili uwe Mwanasiasa bora duniani au nchini Kwako ni lazima uwe Umeshaswekwa mno Rumande au Jela?

Elimu ya Tanzania inahitaji Mabadiliko!!!
 
Kuna wakati polisi walimsubiri nje ya bunge ili akitoka tu wamkamate, Zitto Kabwe akagoma kutoka ukumbini ikabidi Spika Ndugai ampe lift hivyo akanusurika kukamatwa.

Zitto Kabwe anataka kuwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini lakini anaogopa sana " jela" sasa kwa uwoga huo atawaongozaje wapinzani kudai katiba mpya?!

Mwamba wa Upinzani ataendelea kuwa Freeman Mbowe!
Acheni siasa za kupinga kila kitu, acheni siasa za fujo
 
We
Au yule jamaa muoga kama kunguru lissu. Tangu apigwe bunduki anataka sera ya chadema iwe yeye kupigwa risasi 16 🤣🤣
Wewe unatarajia upigwe risasi ngapi ndiyo uishi Kwa tahadhari kama Lissu na uwaambie watu kua ulifanyiwa vibaya?
 
Kwenye upinzani Kuna wanasiasa kwelii wapo upinzani na Kuna wengine
Wapo kwa kua wapo. Mbowe yupo serious kwel na upinzani ndo Mana yanamkuta yanayomkuta.
 
Hoja dhaifu sana hii kwa hiyo kila MTU mwenye familia angekuwa anajiweka mbali hayo mabadiliko yaliyoletwa na wachache waliopigania yangetoka wapi.
Nyerere aliyekuwa anaongoza mapambano ya kudai Uhuru angesema akae kando sababu ana familia ingekuwaje?
Siasa za kina Nyerere ni tofauti na sasa.

Kina Nyerere walisomeshwa na wakoloni kama watoto wa machief ili waajiriwe kusaidia katika serikali za kikoloni. Wengi waliacha kazi ili kupigania uhuru.

Siasa za sasa ni Fursa za Ajira na kujitajirisha na ndio maana wanalipana pesa kibao kiasi kwamba hakuna mwanasiasa masikini.

Hizo nyingine sijui kupambania mabadiliko mara ukombozi ni mbwembwe za kuzugia pesa iingie.
 
Kuna wakati polisi walimsubiri nje ya bunge ili akitoka tu wamkamate, Zitto Kabwe akagoma kutoka ukumbini ikabidi Spika Ndugai ampe lift hivyo akanusurika kukamatwa.

Zitto Kabwe anataka kuwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini lakini anaogopa sana " jela" sasa kwa uwoga huo atawaongozaje wapinzani kudai katiba mpya?!

Mwamba wa Upinzani ataendelea kuwa Freeman Mbowe!

Na mfananisha na yule kiongozi wa afghanistan aliyekimbia ikulu,kuogopa kukamatwa
 
Kuna wakati polisi walimsubiri nje ya bunge ili akitoka tu wamkamate, Zitto Kabwe akagoma kutoka ukumbini ikabidi Spika Ndugai ampe lift hivyo akanusurika kukamatwa.

Zitto Kabwe anataka kuwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini lakini anaogopa sana " jela" sasa kwa uwoga huo atawaongozaje wapinzani kudai katiba mpya?!

Mwamba wa Upinzani ataendelea kuwa Freeman Mbowe!
Hoja yako wewe hapa ni nini? Unataka Zitto awe anaji-expose kupelekwa rumande au awe anachokoza dola halafu ndiyo ujue kuwa ni Kiongozi bora wa upinzani? Juzi juzi kuna kiongozi mmoja nilimsikia alipokuwa akihojiwa na BBC na alsema hivi "kuna tofauti kati ya fujo za kisiasa na uhuru wa kisiasa". Usimlazimishe Zitto afanye fujo wakati hataki kufanya fujo!
 
Kuna wakati polisi walimsubiri nje ya bunge ili akitoka tu wamkamate, Zitto Kabwe akagoma kutoka ukumbini ikabidi Spika Ndugai ampe lift hivyo akanusurika kukamatwa.

Zitto Kabwe anataka kuwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini lakini anaogopa sana " jela" sasa kwa uwoga huo atawaongozaje wapinzani kudai katiba mpya?!

Mwamba wa Upinzani ataendelea kuwa Freeman Mbowe!
kumbe kukaa ndani ndio upinzani, mnalalamika nini?? akae miaka 20 ndio atakuwa boooonge la mpinzani kama mandela
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom