Zitto: Rais hana haki kuhalalisha nyimbo ya msanii yeyote kuchezwa au kutochezwa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Screenshot_2017-03-27-16-14-09.png
View attachment 487508
 
Jamani hii nchi sijui inaelekea wapi? kwa maana hiyo nyimbo ya ney wa mitego haito pigwa kwa mujibu wa serikari kupitia BASATA
 
Yaani hii serikali ya awamu ya 5 ina sera hao kuu ambayo inaitwa kukurupuka.........

Zitto is right, Mkulu hana mamlaka ya kuruhusu au kupiga marufuku mwimbo fulani wa msanii.......

Hilo ni jukumu la Basata.

Lakini as usual kwenye awamu hii ya 5 watendaji wengi wa serikali 'wanasikilizia' maagizo/maelekezo toka Magogoni.
 
Rais hakutoa order...ndo maana Mwakyembe amewaomba BASATA...it wasnt an order....huu upinzani tiamaji tiamaji unasikitisha sana
kwahyo mahakama ikukuta una hatia na kesi ya wizi serikali inaweza "ikaomba" mahakama ikuachie???

kwahyo ina maana BASATA wanaruhusu nyimbo waliosema haina maadili iendelee kupigwa????

kwani wakati wanaudhibiti hawakuconsult other bodies?? tukisema mnakurupuka mnatuona wauza unga......
 
Yaani hii serikali ya awamu ya 5 ina sera hao kuu ambayo inaitwa kukurupuka.........

Zitto is right, Mkulu hana mamlaka ya kuruhusu au kupiga marufuku mwimbo Fulani wa msanii, hilo ni jukumu la Basata.

Lakini as usual kwenye awamu hii ya 5 watendaji wengi wa serikali 'wanasikilizia' maagizo/maelekezo toka Magogoni.

Ivi mbona mnachukulia wenzenu sio binadamu...kwani raisi afai kuzungumza kwa kile ambacho amekiona.... Pia aliyetoa tamko la kuachiwa ni Wizara ambayo basata iko chini ya iyo Wizara
 
Zitto zamani akisema nchi inasimama kumsikiliza....akishusha nondo za ukweli hadi huku vijijini tunawabatiza jina la Zitto vijana wenye hoja nzito kwenye mkutano wa kijiji.
Sasa naona kaambukizwa siasa na matamko ya hovyo ya akina Lema na Mbowe! Twaaaaaafa!
 
Back
Top Bottom