Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,234
- 33,825
Wakati wa Kampeni za mwaka 2015 wana - CCM waliibuka na staili ya kupiga Push ups. Kwa jinsi mambo yalivyoparaganyika chini ya uongozi wa chama hicho, najiuliza kama kuna tija yoyote ile imeshapatikana kwa wana CCM kupiga Push up kwenye uchaguzi wa mwaka 2015?
Aliyekuwa mwana CCM Razaro Nyalandu na wana CCM Mwigulu Nchemba na mwenzake, wakipiga Push Ups mbele ya aliyekuwa Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2015, John Pombe Magufuli!!
Aliyekuwa mwana CCM Razaro Nyalandu na wana CCM Mwigulu Nchemba na mwenzake, wakipiga Push Ups mbele ya aliyekuwa Mgombea Urais kwa Tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi wa mwaka 2015, John Pombe Magufuli!!