mbutamaseko
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 735
- 1,050
Ni muda kidogo umepita toka ajira hizi zitangazwe kwa mbwembwe sana.
Nilishuhudia wasaka ajira walizipokea kwa matumaini sana japo wengi walihisi ni suala la kisiasa zaidi kutokana na ajira hizo kutangazwa ghafla katikati ya kampeni.
Vipi kuna mtu anamjua mtu aliyeajiriwa kupitia ajira hizo? Mnadhani baada ya uchaguzi wataajiriwa kweli?
Hitakuwa Kama kumpa samaki chambo baada ya kumvua? Kwa yeyote mwenye lolote juu ya hili.
Nilishuhudia wasaka ajira walizipokea kwa matumaini sana japo wengi walihisi ni suala la kisiasa zaidi kutokana na ajira hizo kutangazwa ghafla katikati ya kampeni.
Vipi kuna mtu anamjua mtu aliyeajiriwa kupitia ajira hizo? Mnadhani baada ya uchaguzi wataajiriwa kweli?
Hitakuwa Kama kumpa samaki chambo baada ya kumvua? Kwa yeyote mwenye lolote juu ya hili.