chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,757
- 2,523
mi sielewi utaratibu wa tume ya ajira kwenye kuita usahili
1)wanaita kulikana na tarehe ya tangazo yaani FIFO?
2)wanaita kulingana na na kipaumbele cha kazi yenyewe?
3)wanaita kulingana na uhitaji na uharaka wa kazi yenyewe?
nimeuliza ivo coz tangazo la may 28 mpaka sasa sijaliona wakiita usahili wala kulisikia kutoka kwa mtu yeyote,ikiwa kuna matangazo yalikuja mbele na wa2 wameshaitwa
naombeni majibu na mawazo wadau.
1)wanaita kulikana na tarehe ya tangazo yaani FIFO?
2)wanaita kulingana na na kipaumbele cha kazi yenyewe?
3)wanaita kulingana na uhitaji na uharaka wa kazi yenyewe?
nimeuliza ivo coz tangazo la may 28 mpaka sasa sijaliona wakiita usahili wala kulisikia kutoka kwa mtu yeyote,ikiwa kuna matangazo yalikuja mbele na wa2 wameshaitwa
naombeni majibu na mawazo wadau.