Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Kama zika inasababisha vichwa vidogo na Tanzania ina tatizo la vichwa vikubwa na Mgogo wazi. Basi wacha watumbuliwe tu mpaka mwisho wao na PHD za kunywea maji. Tena huyu atakuwa kachomekewa tu na vijana. Labda alikuw alikuwa anasumbua vijana wake hapo. NIMRI
Anajua mdhara kwa ndege za Magufuri kweli. Thats means watalii wote watakimbia Tanzania kwa kuhofia Zika.
Anajua mdhara kwa ndege za Magufuri kweli. Thats means watalii wote watakimbia Tanzania kwa kuhofia Zika.