Hivi Zanzibar ni ya waafrika au ni ya wazanzibari?

Kanuni: Ikiwa A = B na B = C; siyo kosa kusema A = C. Kuhusu watu kutoka nje kuwa Wazanzibar, hilo halipo ila liliopo na kwa mujibu wa Sheria ya Mzanzbari, kuna Uzanzibari wa aina mbali kama vile: Watu wote waliokuwa raia wa sultani tarehe 12/1/1964 ni Wazanzibari. Watu wote ambao mmoja wa wazazi wake ni Mzanzibari huyu ni Mzanzibari wa kuzaliwa. Uzanzibari mwingine ni wa kujiandikisha na mwingine tena ni ule unaopatikana kwa Mtanzani yeyote kukaa Zanzibar kwa miaka mitatu mfululizo na akaomba kuwa Mzanzibari. ili uwe Mzanzibari unapaswa kwanza kuwa Mtanzania. Tatizo ni wale waliopewa dhamana kutumia dhamana zao kwa maslahi binafsi (rushwa).
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Mnachoshindwa kumuelwa mleta mada labda nijaribu kulieka sawa.

Hakuna tatizo lolote kwa Wabara kuishi Zanzibar, Nawala hakuna tatizo lolote kwa Waganda, Wakenya na wengineo kuishi Zanzibar. Tatizo lilokuepo linalosumbua kule ni wabara wanaohamia kule Kupewa stahaki za kiraia au za wazawa ambazo sio sahihi.

Ni mfano wa hapa Bara wa Burundi wa hamie alafu wawe kama raia wengine wa Tanzania, Hivi mtajiskiaje mkiwa na Raisi ambaye anatoka Burundi? Waziri anaetoka DRC? Mkuu wa Polisi amabye ni Mganda?

Ikiwa nyinyi hamuwezi kuridhika na hilo hivi wao wana kosa gani la kutoridhika? Huo ndio ubaguzi?
Si ndio nyinyi wengi wenu mlikua mnalalamika toka majuzi kuwa ajira munataka wazawa wapewe kipaumbele? Nyinyi huo si ubaguzi? lakini wenzenu wakilalamika wanakua ni wabaguzi.
 
Jazba zikizidi huleta ujinga
Baadhi ya ndugu zetu Wazanzibar mna uwezo mdogo sana wa kufikiri! Hivi kati ya Tanganyika na Zanzibar, ni nani mnufaika wa Muungano?

Tufanye sensa leo ya kujua idadi ya hao Waafrika waliopo huko Zanzibar na nyinyi Wazanzibar mlio jazana huku Bara! Hivi watu gani watakuwa wamezidi upande mmoja?

Watu wenyewe tuna walea lea tu! Halafu mnaleta ujuaji. Bila Baba yenu Tanganyika, nyinyi ni useless tu. Na mkiendelea kuketa huu upuuzi wenu, tutawafukuzia mbali kwenye Bunge letu na pia kwenye shughuli zenu mnazo zifanya huku Bara ili mkajazane huko kwenye Visiwa vyenu, huku Mkishindia ule Urojo wenu.
 
Zanzibar jinsi ilivyo hata ukiweka free port bado kile ni kisiwa mtu wa Congo au Zambia lazima apite Tanganyika aje kuchukua mzigo huko unafikiri ni rahisi.
Au unaelewaje kuhusu "free port mkuu"
Mkuu unazungumza mambo ya ajabu kwa kweli. Hivi Zanzibar imekua ikinufaika vipi na muungano?
Serekali ya Tanganyika imekua ikiwaibia Zanzibar kila mwaka fedha karibu Trilioni 1 ya mgao wake kwenye Muungano umewahi kulifatilia hili mkuu?
Unajua kua Zanzibar walitoa fedha karibu ya 12% ya uanzilishi wa BOT ambayo Tanganyika mpaka leo haitaki kukubali?
Kwanini Zanzibar hawaruhusiwi kuweza kukopa nje?
Kwanini Zanzibar hawaruhusiwi kuwa na free port pamoja free zone?
Kwanini Zanzibar wanalazimishwa kutawaliwa na viongozi wasiowataka wanaochaguliwa Bara?
 
Mnachoshindwa kumuelwa mleta mada labda nijaribu kulieka sawa.

Hakuna tatizo lolote kwa Wabara kuishi Zanzibar, Nawala hakuna tatizo lolote kwa Waganda, Wakenya na wengineo kuishi Zanzibar. Tatizo lilokuepo linalosumbua kule ni wabara wanaohamia kule Kupewa stahaki za kiraia au za wazawa ambazo sio sahihi.
Ni mfano wa hapa Bara wa Burundi wa hamie alafu wawe kama raia wengine wa Tanzania, Hivi mtajiskiaje mkiwa na Raisi ambaye anatoka Burundi? Waziri anaetoka DRC? Mkuu wa Polisi amabye ni Mganda?
Ikiwa nyinyi hamuwezi kuridhika na hilo hivi wao wana kosa gani la kutoridhika? Huo ndio ubaguzi?
Si ndio nyinyi wengi wenu mlikua mnalalamika toka majuzi kuwa ajira munataka wazawa wapewe kipaumbele? Nyinyi huo si ubaguzi? lakini wenzenu wakilalamika wanakua ni wabaguzi.
Wazanziba wanaafiki ubara 90%. Hizo za stahiki wabara wata'aply the same' then, wao ndo watalalamika. Tunao huku wanadai kwamba bara tuna roho mbaya hususan viongoz nd mana maish magum sana. Wanaona huu uzanziba ni utakatif, Zanzibar kuna shida ya kimtazamo.
 
Mnachoshindwa kumuelwa mleta mada labda nijaribu kulieka sawa.

Hakuna tatizo lolote kwa Wabara kuishi Zanzibar, Nawala hakuna tatizo lolote kwa Waganda, Wakenya na wengineo kuishi Zanzibar. Tatizo lilokuepo linalosumbua kule ni wabara wanaohamia kule Kupewa stahaki za kiraia au za wazawa ambazo sio sahihi.
Ni mfano wa hapa Bara wa Burundi wa hamie alafu wawe kama raia wengine wa Tanzania, Hivi mtajiskiaje mkiwa na Raisi ambaye anatoka Burundi? Waziri anaetoka DRC? Mkuu wa Polisi amabye ni Mganda?
Ikiwa nyinyi hamuwezi kuridhika na hilo hivi wao wana kosa gani la kutoridhika? Huo ndio ubaguzi?
Si ndio nyinyi wengi wenu mlikua mnalalamika toka majuzi kuwa ajira munataka wazawa wapewe kipaumbele? Nyinyi huo si ubaguzi? lakini wenzenu wakilalamika wanakua ni wabaguzi.
Wabara kupewa stahiki za kiraia unamaanisha nini?
Stahiki zipi unaongelea hapa
 
Huku Bulwa kuna Wapemba wengi ndiyo wenye maduka na wanalima iliki, wala sisi hatuoni shida yeyote.
SHida sio uwepo wa wapemba wala wabara, shida ni kupewa nafasi zisizostahiki.

Zanzibar wabara wanapata teuzi za kiserekali ya SMZ ambazo kitaritibu zilitakiwa ziwe kwa wa Zanzibar tu.
Vikosi vya ulinzi vyote JWTZ, JKU, KMK ajira nyingi zimekua zikienda kwa wabara Zaidi miaka ya hivi karibuni.

Wabara wanaandikishwa kura na kupiga kura za kuchagua raisi wa Zanzibar na Wawakilishi wa Baraza la Uwakilishi wakati walitakiwa wao wapige kura za Raisi wa JMT na Wabunge tu.

Ikikaribia kipindi cha uchaguzi watu husafirishwa kwa mameli kwenda Zanzibar kupiga kura na JWTZ hupelekwa kwa wingi ambao 99% ni wabara ati kwa makusudio ya kueka Amani.

Mwinyi ni mbara amewekwa kule na Tanganyika. (Baba yake ni mbara, yeye amezaliwa bara na kukulia Bara, kaenda Zanzibar kwa siasa tu) Hivi je nyinyi mupo tayari kuongozwa na raisi kutoka Msumbiji?

Licha ya kuwa unajiita mwana mabadiliko lakini kushindwa kuona dhulma za wazi zinazotendeka kwa wenzetu sio sawa, ipo haja ya kujitafakari.
 
Ni kawaida yao rais akitokea Zanzibar lazima walete malalamiko, rais wa sasa kawa mbunge mkuranga baadae akawa mbunge kwao ni lini mtanganyika kagombea ubunge Zanzibar kama vipi ondokeni mmejazana huku bara lakini kutwa kulalamika
 
Ushahidi wa ccm huu hapa

DSC_2469.jpg
 
SHida sio uwepo wa wapemba wala wabara, shida ni kupewa nafasi zisizostahiki.
Zanzibar wabara wanapata teuzi za kiserekali ya SMZ ambazo kitaritibu zilitakiwa ziwe kwa wa Zanzibar tu.
Vikosi vya ulinzi vyote JWTZ, JKU, KMK ajira nyingi zimekua zikienda kwa wabara Zaidi miaka ya hivi karibuni.
Wabara wanaandikishwa kura na kupiga kura za kuchagua raisi wa Zanzibar na Wawakilishi wa Baraza la Uwakilishi wakati walitakiwa wao wapige kura za Raisi wa JMT na Wabunge tu.
Ikikaribia kipindi cha uchaguzi watu husafirishwa kwa mameli kwenda Zanzibar kupiga kura na JWTZ hupelekwa kwa wingi ambao 99% ni wabara ati kwa makusudio ya kueka Amani.
Mwinyi ni mbara amewekwa kule na Tanganyika. (Baba yake ni mbara, yeye amezaliwa bara na kukulia Bara, kaenda Zanzibar kwa siasa tu) Hivi je nyinyi mupo tayari kuongozwa na raisi kutoka Msumbiji?

Licha ya kuwa unajiita mwana mabadiliko lakini kushindwa kuona dhulma za wazi zinazotendeka kwa wenzetu sio sawa, ipo haja ya kujitafakari.
Ukifuatilia vizuri utaona hakuna wazanzibari asili bali wote ni wahamiaji, wangazija, washirazi na wamatumbi.
Hata wewe ukifuatilia babu yako utakuta katokea mafia au Tanga
 
Wabara kupewa stahiki za kiraia unamaanisha nini?
Stahiki zipi unaongelea hapa
Yaani katika wale Mamwinyi waliobaki hawataki kabisa Muungano ni huyo dos.2020 hapo ana maana Watanganyika wakifika huko Visiwani wasipewe kabisa uongozi katika Serikali ya Visiwani, mapinduzi hayatambui sembuse upewe Ardhi

ukija suala la Bara wanaita Tanganyika wao wapewe kila kitu 100% na kusiwe na mchujo wowote kila mtu ajitwalie chochote hata wa kutoka Rwanda, Burundi na Kenya

Hawa wakippewa nafasi ya kupenya kwa Mama Samia wanaweza kuuvunja Muungano namuombea miaka Mama Samia atamaliza hili ombwe la Mamwinyi wanaotaka kuturudisha nyuma kwani wanaweza vunja Muungano mikononi mwake
 
SHida sio uwepo wa wapemba wala wabara, shida ni kupewa nafasi zisizostahiki.
Zanzibar wabara wanapata teuzi za kiserekali ya SMZ ambazo kitaritibu zilitakiwa ziwe kwa wa Zanzibar tu.
Vikosi vya ulinzi vyote JWTZ, JKU, KMK ajira nyingi zimekua zikienda kwa wabara Zaidi miaka ya hivi karibuni.
Wabara wanaandikishwa kura na kupiga kura za kuchagua raisi wa Zanzibar na Wawakilishi wa Baraza la Uwakilishi wakati walitakiwa wao wapige kura za Raisi wa JMT na Wabunge tu.
Ikikaribia kipindi cha uchaguzi watu husafirishwa kwa mameli kwenda Zanzibar kupiga kura na JWTZ hupelekwa kwa wingi ambao 99% ni wabara ati kwa makusudio ya kueka Amani.
Mwinyi ni mbara amewekwa kule na Tanganyika. (Baba yake ni mbara, yeye amezaliwa bara na kukulia Bara, kaenda Zanzibar kwa siasa tu) Hivi je nyinyi mupo tayari kuongozwa na raisi kutoka Msumbiji?

Licha ya kuwa unajiita mwana mabadiliko lakini kushindwa kuona dhulma za wazi zinazotendeka kwa wenzetu sio sawa, ipo haja ya kujitafakari.
Acha roho mbaya..mi nazidi tu kukwambia acheni kula urojo na hizo pweza..ndio mana hamna akili..nyie mkija bara mpewe kila kitu bure bila masharti ila mbara akija visiwani apewe masharti rukuki..sasa kuna haja gani ya muungano..mi naona muungano usiwepo au kama uwepo zanzibar iwe mkoa tu wala sio kijinchi uchwara kenye raia wapauuzi kama huyu jamaa...unafedhesha sana Tanzania yetu.

Ndio mana sasa kauli mbiu ni kuzalisha dadazenu wote huko..na kukalia kila kitu mpka ujinga uwatoke..narudia acheni kulia lia pelekeni watoto shule..madrasa haziwezi wapa mnachokitaka duniani..mifumo ya kielimu ya kidunia ndio itakayo wapa ajira mnakokutaka..tofauti na hapo mtaendelea kulialia na kuleta ubaguzi wakijinga kwa ukosefu wenu wa elimu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na kutokujielewa kwa Viongozi wengi wanaojiita ni Wazanzibari na wafuasi wengi hususan wa Chama Tawala (CCM) upande wa Zanzibar juu ya nyimbo wanayoimbishwa na Wasakatonge ya (ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA!!) pasi na kutotaka kujiongeza kwa kujua MUAFRIKA ni nani??? na MZANZIBARI ni nani???

Kumeibuka wimbi kubwa la watu kutoka mataifa mbali mbali kuvamia visiwani Zanzibar na kujiita ni Wazanzibari kwasababu tu ya kauli mbiu ya kisiasa ya wadumisha Muungano inayosema (ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA) kauli mbiu ambayo inatoa Uhalali wa wageni toka nchi jirani na Zanzibar kujitwalia mambo yaliyokua yanawastahiki Wazanzibari Asili (sio wakaazi) kukosa;-
-Fursa zao ktk Taifa lao mama
-Haki zao za msingi
-Uhuru wao ktk Taifa lao mama la Asili
-Haki zao stahiki kwenye Taifa lao
-Maamuzi ya kitaifa na kiraiya pamoja na kiuongozi
Na mengi mengineyo......

Ni sawa na mfano wa Nyuki wachache waliojiundia jumba lao hatimae wakatokea Kundi kubwa la Mchwa na kuamua kulivamia hilo Kundi dogo la Nyuki...... Je hilo Kundi dogo la Nyuki litakua salama pamoja na hayo makaazi yao!!!! Jibu ni jepesi tu hayo makaazi yatageuka na kua ni makaazi ya Mchwa na itafika kipindi hakutoibuka hata Nyuki mmoja kuongea chochote juu ya hao Mchwa wavamizi....

Maana yangu ni kwamba Zanzibar ni Nchi ndogo na yenye Watu Asili wachache mnoo.... Inapoelekea Zanzibar baada ya miaka kadhaa mbele huko itegemee kua ni WILAYA ndogo ya TANGANYIKA kutokana na uvamizi mkubwa mno wa Wageni uliopo ktk Viunga vyake pia na sehemu Muhimu za kimaamuzi Serikalini Mfano;-
-Mahkama, Vyombo vya Usalama (PT,JWTZ, VIKOSI VYA SMZ),, Sekta za Kielimu, Sekta za Uwekezaji, Sekta za Ajira n.k!!!! Kwa muktadha huo Zanzibar imebakiwa na Nguzo moja tu kuu...nayo ni KATIBA ndio ambayo inaifanya walau hadi leo imebaki na baadhi ya kijiutawala kidogo cha ndani kinachoifanya iweze kuheshimiwa na Mchwa waliopo madarakani..

Pasipokua na juhudi maalum na ya lazima kwa Wazanzibari na Serikali yao kuweza kusimamisha Wazanzibari Asili wenye Uzalendo wa Taifa lao basi wategemee kupoteza;-
-Utaifa wao
-Utamaduni wao
-Utu wao
-Heshima, Uhuru na Haki zao
-Asili zao na historia zao na kubaki dhalili kwenye Taifa lao la Asili ya mababu zao..

Mara nyingi wanasiasa na wenye uchu wa madaraka Zanzibar hupenda kutumia mbinu za Wakoloni za (DIVIDE & RULE) yaani Wagawe na Uwatawale.... Mbinu ambazo zimewagawa Wazanzibari na kumwaga damu za ndugu zao kwa makundi tena bila ya hatia na kubaki Zanzibar yenye mgawanyiko wa jamii zinazochukiana na utabaka!!! Wanasiasa hao ambao si Wazalendo (Wachumia tumbo) wamekua mstari wa mbele kuwaimbisha Wafuasi wao nyimbo za chuki na za kulihujumu Taifa la Zanzibar kwa njaa za madaraka tu,, Utasikia "ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA" kwani kuna Taifa gani la Kiarabu au Kizungu au Kichina linalodai Zanzibar ni Nchi yake!!! Wanawafanya kana kwamba Wazanzibari hawana Haki ktk Taifa lao.........

Ifike mda Wazanzibari muwe na uwelewa juu ya kauli kma hizo...... "UAFRIKA ni Utu wa Asili ya Bara la AFRICA" na WAAFRIKA wote wana Asili zao ktk Nchi mbali mbali zilizopo Barani AFRICA.... Bara la AFRICA lina Nchi nyingi na watu wa jamii tofauti tofauti katika mataifa hayo....... Kwahio huo wimbo wa kusema "ZANZIBAR NI YA WAAFRIKA" ni kufilisika kisera na kudumisha unyonyaji na uvamizi ZANZIBAR.....

👊ZANZIBAR NI YA WAZANZIBARI,,,,,,,,, WAAFRIKA KILA MMOJA ANA TAIFA LAKE👊
-Naomba hii Post yangu iwe ni kumbukizi pindi siku ikifika Mchwa wakitangaza kua ZANZIBAR ni Wilaya yao Rasmi!!!!!
Nyie ni wabinafsi sana. Mnakuja nchi za wengine mnafanya biashara na kumiliki mashamba viwanja ila hamtaki sisi tuje huko na kufanya kama nyie mnavyofanya huku kwetu. Chenu chenu, chetu chenu siyo vizuri.
 
Yaani katika wale Mamwinyi waliobaki hawataki kabisa Muungano ni huyo dos.2020
hapo ana maana Watanganyika wakifika huko Visiwani wasipewe kabisa uongozi katika Serikali ya Visiwani, mapinduzi hayatambui sembuse upewe Ardhi
ukija suala la Bara wanaita Tanganyika wao wapewe kila kitu 100% na kusiwe na mchujo wowote kila mtu ajitwalie chochote hata wa kutoka Rwanda, Burundi na Kenya

Hawa wakippewa nafasi ya kupenya kwa Mama Samia wanaweza kuuvunja Muungano namuombea miaka Mama Samia atamaliza hili ombwe la Mamwinyi wanaotaka kuturudisha nyuma kwani wanaweza vunja Muungano mikononi mwake
Hawa wanachochewa na muarabu. Mlatende bado anakitaka kisiwa kile. Muungano ukivunjika leo basi kesho muarabu anarudi kutawala pale.
 
Historia isiyo na Siasa inasema Zanzibar iligunduliwa na Persians (Waajemi) wakafanya wakazi yao pale kwa muda mrefu

Ila ni Wimbi la Watumwa kutoka Manyema Kongo na Ungazija ndilo Chini ya Mzee Tiputipu ndilo lilioijaza Zanzibar

Kwaivo Zanzibar imekuwa na Wahamiaji kuanzia Wafaris Waarabu wa Yemen na Omani Wahindi Wasomali Wabantu wa Kongo na Kongo ya Kindu Manyema Wanyamwezi halafu Wahamiaji wa hivi karibuni ni Wasukuma.

Siasa za CCM za kijinga ndio zinazoiharibu Zanzibar
 
Mzanzibar Asili ni nani ama ukienda Zanzibar ukasema nataka niwaone wakazi wa hapa wale wa asili ni akina nani?Mimi nyumbani Zanzibar Pemba tena mchanga mdogo.
 
Zanzibar jinsi ilivyo hata ukiweka free port bado kile ni kisiwa mtu wa Congo au Zambia lazima apite Tanganyika aje kuchukua mzigo huko unafikiri ni rahisi.
Au unaelewaje kuhusu "free port mkuu"
Bila ya shaka kunasehemu unakwama mkuu, Kwani watu wanakwenda vipi kuchukua mizigo Dubai? kwani Dubai si kisiwa? ikiwa watu wanatoka Congo kwenda Dubai kununua vitu watashindwaje kwenda Zanzibar?
Zanzibar pakishakua na free port hata Tanganyika itanufaika mana kama unavyosema mizigo itapitia Bara.

Tatizo kubwa la watawala wa Tanganyika kinachowafanya kuzuia Zanzibar kuwa na free port ni kuhofia kua Biashara ya Kariakoo itaporomoka na wafanya biashara pamoja na wateja wao wote watakimbilia Zanzibar. NI Wivu wakike tu unaowasumbua.
 
Miaka ya nyuma kidogo hawa jamaa walikuwa kazi za jeshi hawataki wala kazi hotel za kitalii hawataki wanaita kazi za kikafiri. Miaka inavyokwenda wanazaliana na idadi ya watu inaongezeka wakati ajira hakuna na ardhi ni ndogo. Sasa hivi wamejazana kwenye mahoteliteli wanapiga kazi kama kawa na nafasi za jeshi zikitoka wamo.
Wanajua wakileta mbwembwe watakufa njaa huwezi kula utalii tu.
Ni kawaida yao rais akitokea Zanzibar lazima walete malalamiko, rais wa sasa kawa mbunge mkuranga baadae akawa mbunge kwao ni lini mtanganyika kagombea ubunge Zanzibar kama vipi ondokeni mmejazana huku bara lakini kutwa kulalamika
 
Back
Top Bottom