Hivi Zanzibar na Pemba yote ni Maalimu Seif tu ndio anafaa kuwa Rais?

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Nov 24, 2012
2,977
1,897
Mtu yoyote ambae anatafuta madaraka kwa nguvu haondoki madarakani kirahisi tumeona Mseven, Kagame, Kabila, Mugabe na marais wengi tu. Kwa demokrasia tuliojijengea kwanini tu kila siku maalimu seif? Yeye ni nani kati ya watanzania na wa zanzibar mamilion kwa mamilion?mbona kuna wapemba wasomi sana na wenye uwezo? Ameshika madaraka chungu nzima lakini halidhiki shida ipo wapi na huyu jamaa? Ninaamini ndani ya CUF kuna vijana sasa hivi wanazeeka kusubiri nafasi ya ukatibu baada ya mtu mmoja kushika nafasi hiyo kwa muda mrefu bila kustaafu.

Nimesoma hotuba ya maalimu seif ni kama anataka kuwaaminisha watu uongouongo tu. Nafasi ya kugombea urais wa Tanzania ni wa watu wote Mzanzibari ama Mtanganyika wote wana haki sawa. ila Zanzibar kama nchi inanafasi ya kuwa na rais wao. Masauni yupo pale ni waziri mama samia yupo pale ni Makamo wa rais.

Muungano wetu Tanganyika na Zanzibar ni wa watu na wala si nchi. nchi zipo, Ila watu wanaenda shule ,watu wanafanya biashara, watu wanalima ,watu wanatembeleana, watu wana uhuru wa kwenda popote na kuanzisha maisha bila kuulizwa na mtu. Mzanzibari akimuona mkenya Mwanza anamtimulia huko mbali na kumuonyeha kidole wewe si mtanzania.

Tanzania is our country ambayo haijwahi kutwaliwa na mtu yoyote na hii inatosha kutufanya tuonekane Tanzania is strongest country ever happen in history of this world.

Huyu haeleweki sasa maana kitendo cha kususia uchaguzi tu kinaonyesha uwezo wa akilia aliyonao. Mtu unasusia uchaguzi kwenye linchi imara na amani kama Tanzania?
 
hahaaaa nyie mnaendelea kuogopeshwa,c mlijifanyia uchaguz wenu?endeleeni kutawala mnaogopa nn?nmependa jibu La ndg hapo juu.wewe muulize kwanza mama ako kwann ni babaako tu?na sio msela mwingine?mctufanye tukufuru.MNA laana na utawala wenu.
 
Ulimaanisha nini hapa

"...Tanzania is strongest country ever happen in history of this world..."
 
Kwa mujibu wa UN , Maalimu Seif alishinda uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa octoba 25 , na kwa kusisitiza Mungu kaamua waliohujumu WAPINDE MIDOMO .
 
ikipendaroho Hakuna Hata hata matusi hapa tuanongea ukweli. Hivi CUF hakuna mtu mwingine wa kugombea Urais wa Zanzibar nijibu kwanza?
 
Kwa mujibu wa UN , Maalimu Seif alishinda uchaguzi mkuu wa Zanzibar wa octoba 25 , na kwa kusisitiza Mungu kaamua waliohujumu WAPINDE MIDOMO .

Sawa alishinda lakini hakuapishwa kama Rais. Hata marekani na kenya iliishatokea kabisa na kwingineko. Mfano tu ni Trump hata ikiwaje ashinde Urais hawezi kupewa nchi. Bushi alishindwa uchaguzi. Nchi kama nchi si kila mtu anapewa tu kuongoza Nchi. Mfano Lowassa tu alikuwa allmost awe rais wa nchi 100% mifumo ikamgomea.
 
Kadhi Mkuu 1 Kwahiyo unamaanisa hapa Maalimu ni............ ama sijakuelewa. Huyu anawazibia nafasi ya CUF kuongoza Zanzibar maana viongozi wote wamefanyakazi na yeye wanamjua kuliko wewe unamsikia tu. Hana uwezo wa kuongoza.
 
Mtu yoyote ambae anatafuta madaraka kwa nguvu haondoki madarakani kirahisi tumeona Mseven, Kagame, Kabila, Mugabe na marais wengi tu. Kwa demokrasia tuliojijengea kwanini tu kila siku maalimu seif? Yeye ni nani kati ya watanzania na wa zanzibar mamilion kwa mamilion?mbona kuna wapemba wasomi sana na wenye uwezo? Ameshika madaraka chungu nzima lakini halidhiki shida ipo wapi na huyu jamaa? Ninaamini ndani ya CUF kuna vijana sasa hivi wanazeeka kusubiri nafasi ya ukatibu baada ya mtu mmoja kushika nafasi hiyo kwa muda mrefu bila kustaafu.

Nimesoma hotuba ya maalimu seif ni kama anataka kuwaaminisha watu uongouongo tu. Nafasi ya kugombea urais wa Tanzania ni wa watu wote Mzanzibari ama Mtanganyika wote wana haki sawa. ila Zanzibar kama nchi inanafasi ya kuwa na rais wao. Masauni yupo pale ni waziri mama samia yupo pale ni Makamo wa rais.

Muungano wetu Tanganyika na Zanzibar ni wa watu na wala si nchi. nchi zipo, Ila watu wanaenda shule ,watu wanafanya biashara, watu wanalima ,watu wanatembeleana, watu wana uhuru wa kwenda popote na kuanzisha maisha bila kuulizwa na mtu. Mzanzibari akimuona mkenya Mwanza anamtimulia huko mbali na kumuonyeha kidole wewe si mtanzania.

Tanzania is our country ambayo haijwahi kutwaliwa na mtu yoyote na hii inatosha kutufanya tuonekane Tanzania is strongest country ever happen in history of this world.

Huyu haeleweki sasa maana kitendo cha kususia uchaguzi tu kinaonyesha uwezo wa akilia aliyonao. Mtu unasusia uchaguzi kwenye linchi imara na amani kama Tanzania?
Sijui kama unajua anachokiongea mkuu
Niaje ajabu na dhihaka kwa mwenyezi mungu kukupa ubongo usio na kazi
 
Darasa la saba nimemaliza Turwa Primary School sema kwanini kila siku maalimu seif kwani CUF ni maalimu seif tu peke yake?

Jibu la swali lako liko ndani ya jibu la swali hili iwapo utakuwa honest kulijibu kwa usahihi;

Kwa nini ni CCM tu ndiyo iongoze Tanzania na Zanzibar tena kwa kuiba kura wakati vipo vyama vizuri vipya na vyenye sera na mipango mizuri zaidi kuliko sera na mipango ya CCM chama kikongwe na kilichozeeka na kuchoka??
 
Jibu la swali lako liko ndani ya jibu la swali hili iwapo utakuwa honest kulijibu kwa usahihi;

Kwa nini ni CCM tu ndiyo iongoze Tanzania na Zanzibar tena kwa kuiba kura wakati vipo vyama vizuri vipya na vyenye sera na mipango mizuri zaidi kuliko sera na mipango ya CCM chama kikongwe na kilichozeeka na kuchoka??
Jibu ni kwamba hakuna anayefaa kuongoza Nchi huko UKAWA! Hamna uzoefu kabisaaa. Labda 2055!!!
 
Jibu la swali lako liko ndani ya jibu la swali hili iwapo utakuwa honest kulijibu kwa usahihi;

Kwa nini ni CCM tu ndiyo iongoze Tanzania na Zanzibar tena kwa kuiba kura wakati vipo vyama vizuri vipya na vyenye sera na mipango mizuri zaidi kuliko sera na mipango ya CCM chama kikongwe na kilichozeeka na kuchoka??

Labda nikuulize kwanini Maalim alitoka CCM
 
unaposema kung'ang'ania sikuelewi, hivi ni yupi kati ya yule anayekunyima ushindi kwenye mechi na yule anayepokonywa ushindi nani king'ang'anizi......pitia ulichoandika alafu ujisahihishe mkuu.
 
Back
Top Bottom