Miezi ya kaubaridi ni March, April na May ambapo ni kipindi cha mvua kubwa.Binafsi sijawah kufika katika nchi ya Zanzibar
Ila nikiangalia mwaka nzima viwango vya joto huwa vipo juu sana vikishuka sana labda 23 nyuzi
Vipi kwa Zanzibar kuna maeneo yenye baridi kali kama huku bara kwa baadhi ya maeneo?
Kumbe!Miezi ya kaubaridi ni March, April na May ambapo ni kipindi cha mvua kubwa.
Juni mpaka October ni kiangazi na joto la wastani kama leo ni 26 hivi.
Mwezi mzuri kabisa ni August.
Ila hali ya hewa za Zanzibar na Tanzania Bara yashabihiana.