Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 267,547
- 1,092,262
Ni kweli hasa ile hotel
siyo kwamba anapenda fursa iliyo kwa sugu 😂😂😂😂
siyo kwamba anapenda fursa iliyo kwa sugu 😂😂😂😂
Halafu anapotea then anarudi.Kumbe mada za warumi ?🥊🥊🥊
Mimi sioni ajabu. Mtu ukishamjua tabia zake unamchukulia kama alivyo, hutakiwi kum judge. Mimi pia nina marafiki ambao kuna watu wanashangaa nawezaje kuwa karibu nao, Binafsi sioni tatizo as long as tabia zao hazinidhuru. Watu kuwa na tabia tofauti na za kwetu haimaanishi kuwa ni watu wabaya kwa jamii/ maisha yetuAiseh dah , nawazaga kwa kweli , watu kama gigy na umber lulu wakiwa marafiki mtu hushangai coz akili zao nyingi zinaendana , Ila apa kwa faiza na zama nashindwa kuelewa kabisa🤣🤣🤣