Lagrange
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 2,256
- 2,572
Kweli Moshi mji wa wagumu
Moshi pazuri kwa kutumia pesa huku ukiangalia kilele cha mlima kilimanjaro .
Saiv naona Moshi kwa utafutaji sio pema sana, boda ya Holili imedorora hamna kitu ,nilikuwa pale mwezi wa tatu ,sijaamin .
Moshi itakuja kuwa sehemu ya Makaburi ya matajiri wa mikoani (Wachagga)
Sasa hivi Wachagga wamejaa Manispaa ya Ubungo, na maeneo mbalimbali ya Dar na miji mikubwa.
Ukifika Kibamba, Mbezi, Kimara unaweza kudhani upo Moshi.
Kuna Mtaa pale Ubungo unaitwa Marangu, kuna Rombo, Kibo
Waisiraeli ni wapambanaji sana ,ila cha kushangaza hamna wazaramo wenye biashara kule kwetu.
hv kuna kabila wavivu kama wazaramo na Luguru
Mkuu taratibu ,wakija hao na jinsi wanajua kuongea ,itabadiki id
Makabila bila ya Tanga ni wavivu pia na wenyewe ,wanaume wako tepwe tepwe wengi .
hahahhaha
Wako wanaume tanga hawez chimba shimo la taka yaan yuko mlain mlain kama wakike hiv .
ahaah bila kusahau upepo mkali.Na kuna vumbi pia sana kuelekea miezi ya saba,nane na tisa
ahaah bila kusahau upepo mkali.
daah Lile li mji linaboa SANAA
Najua ni wilaya ya mkoa wa iringa, lakini kila stori utayoskia kuhusu mafinga lazima itakuwa na uhusiano na kambi ya jeshi tht nikauliza
Ule haraka haraka hicho kiti moto,wanakuja jamaa wakupige mawe,uwe tayari umeshashiba
Ni wivu tu!Hata jimama kaka Mother Confessor nilipeleke wap
Kuna baridiWakuu imekuwa kawaida kila unaposkia inazungumziwa mafinga iwe kwenye taarifa ya habari hta humu jamvini kwa namna moja ama nyingine itakuwa inazungumziwa kambi ya jeshi. Sasa najiuliza huko mafinga zaidi ya kambi ya jeshi kuna kitu gani kingine? Au ni mji wa wanajeshi watupu?
Uzi tayari
Mafinga ni mji na ndani ya Wilaya ya Mufindi Mkoa wa Iringa, huo Mji ndipo yalipo makao makuu ya wilaya na mji huu una halmashauri yake.
Mafinga ni mji mzuri wa kibiashara haswa Mbao na umechangamka kuliko hata Makambako.
Yan makambako mnaipiga Vita bdo inawakimbiza tu mtasubiri snaMakambako ni junction nzuri sana, ila kumedorola hatari, hata maeneo ya kulala ambayo yanahadhi nzuri hupati. Wabena na wakinga hawataki kuufanya mji ukawa wa kibiashara,
Hofu imekutanda, we ni mharifu wa nini maana si kwa hofu hiyo ya geshi!!!Najua ni wilaya ya mkoa wa iringa, lakini kila stori utayoskia kuhusu mafinga lazima itakuwa na uhusiano na kambi ya jeshi tht nikauliza
Kuna uvunaji wa mbao.Wakuu imekuwa kawaida kila unaposkia inazungumziwa mafinga iwe kwenye taarifa ya habari hta humu jamvini kwa namna moja ama nyingine itakuwa inazungumziwa kambi ya jeshi. Sasa najiuliza huko mafinga zaidi ya kambi ya jeshi kuna kitu gani kingine? Au ni mji wa wanajeshi watupu?
Uzi tayari