Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,034
- 15,751
Nenden pm. Huku tuna hoja ya kuhoji Mafinga tu!Ugali kwa kitimoto Mum!
Nenden pm. Huku tuna hoja ya kuhoji Mafinga tu!Ugali kwa kitimoto Mum!
Ya hatari!Kuna baridi😎
Uzuri wake?Mafinga Ni Pazuri
Hapo Himo mko poa mkuu?
Kuna Keep left
TAN WATT ipo mafinga?? Acha kudanganya watu mkuu... Sehemu gani ilipo tujifunzeMafinga ni mji mdogo uliopo wilaya ya Mufindi
--Kuna shamba la miti ya mbao na nguzo SAO HILL Forest ambao hutoa malaki ya mbao kila mwaka.
--Kiwanda cha karatasi mgololo ni kiwanda pekee Tanzania.
-- TAN WATT ipo mafinga.
--Mashamba ya chai Itona etc
--kiwanda cha Chai-Bora.
---Kambi ya JKT Mafinga.
--Gereza Isupilo Mafinga.
---mashamba ya miti ya mbao ya watu binafsi.
---Kiwanda cha Pareto na kilimo chake.
--Soko kubwa la Mbao kwa nyanda za juu kusini
--Southern Highland secondary
--Ndo sehemu baridi ilipozaliwa.
---kilimo cha viazi mviringo kwa sana.
Kuna mtu anataka kuja kudowea kitimoto yangu tena?Ngoja nimuulize my toto Behaviourist najua hapendi kudoewa
Watu wa Ulaya huwa mnakula ugali ya kitimoto kwani mkuu?Nami pia nataka kujichanganya kula huo ugali pamoja. Je nakaribishwa?
Nenden pm. Huku tuna hoja ya kuhoji Mafinga tu!
Ni wivu tuu!Nenden pm. Huku tuna hoja ya kuhoji Mafinga tu!
Eti jamaniii🙄Kuna mtu anataka kuja kudowea kitimoto yangu tena?
Pia ni mji unaoongoza bongoland kwa maambukizo ya virusi vya Ukimwi kutokana na mazingira yake ya baridi Kali Sana. Ukifanikiwa kufika huko,usiache kujipatia japo kiasi kidogo Sana Cha zawadi hiyo. OVAWakuu imekuwa kawaida kila unaposkia inazungumziwa mafinga iwe kwenye taarifa ya habari hta humu jamvini kwa namna moja ama nyingine itakuwa inazungumziwa kambi ya jeshi. Sasa najiuliza huko mafinga zaidi ya kambi ya jeshi kuna kitu gani kingine? Au ni mji wa wanajeshi watupu?
Uzi tayari
Aisee mbona unanitishaPia ni mji unaoongoza bongoland kwa maambukizo ya virusi vya Ukimwi kutokana na mazingira yake ya baridi Kali Sana. Ukifanikiwa kufika huko,usiache kujipatia japo kiasi kidogo Sana Cha zawadi hiyo. OVA
Na ndio mji uliokuwa wa kwanza kulalamika kuadimika kwa kondomu.Pia ni mji unaoongoza bongoland kwa maambukizo ya virusi vya Ukimwi kutokana na mazingira yake ya baridi Kali Sana. Ukifanikiwa kufika huko,usiache kujipatia japo kiasi kidogo Sana Cha zawadi hiyo. OVA
Hapo TANWAT umetulisha sumu mkuuMafinga ni mji mdogo uliopo wilaya ya Mufindi
--Kuna shamba la miti ya mbao na nguzo SAO HILL Forest ambao hutoa malaki ya mbao kila mwaka.
--Kiwanda cha karatasi mgololo ni kiwanda pekee Tanzania.
-- TAN WATT ipo mafinga.
--Mashamba ya chai Itona etc
--kiwanda cha Chai-Bora.
---Kambi ya JKT Mafinga.
--Gereza Isupilo Mafinga.
---mashamba ya miti ya mbao ya watu binafsi.
---Kiwanda cha Pareto na kilimo chake.
--Soko kubwa la Mbao kwa nyanda za juu kusini
--Southern Highland secondary
--Ndo sehemu baridi ilipozaliwa.
---kilimo cha viazi mviringo kwa sana.