Hivi yule Waziri aliyesema kodi ya nyumba tutalipa mwezi hadi mwezi alitumbuliwa au bado yupo?

BIN BOR

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,013
407
Nilijawa furaha kumsikia Mzee Lukuvi akisema watanzania watalipa kodi ya nyumba kwa mwezi na sio mwaka au miezi sita kama ilivyo sasa. Nimejenga nyumba ya kuishi lakini sehemu ya biashara nimekodi na nikilipa mtaji wote unakwenda. Ahadi hii ya Lukuvi itatimia lini na sisi tulipe kama London au Stockholm?
 
Warudishe nyumba za serikali walizo uza ili wawapangishie wanavyo taka, hizi zetu tutapangisha tunavyo taka maana hata sisi tunalipa kodi ya majengo serikali kwa mwaka hawachukui kila mwezi, sie kufanya miezi sita au mitatu kwa nini iwe kero kwao?
 
Tulichezea pupu ya wazungu ili tujenge nyumba, sasa tunapangiwa jinsi ya kupewa kodi yetu.
 
Yeye mwenyewe zile zake hapangishi mwezi mwezi

Kwani kodi ya Majengo tunalipa ki mwezi mwezi?
 
Warudishe nyumba za serikali walizo uza ili wawapangishie wanavyo taka, hizi zetu tutapangisha tunavyo taka maana hata sisi tunalipa kodi ya majengo serikali kwa mwaka hawachukui kila mwezi, sie kufanya miezi sita au mitatu kwa nini iwe kero kwao?

Ndio baba mwenye nyumba
 
Hutaki kunilipa kodi ya miezi 6 au mwaka ondoka atakuja mwingine,full stop
 
Nilijawa furaha kumsikia Mzee Lukuvi akisema watanzania watalipa kodi ya nyumba kwa mwezi na sio mwaka au miezi sita kama ilivyo sasa. Nimejenga nyumba ya kuishi lakini sehemu ya biashara nimekodi na nikilipa mtaji wote unakwenda. Ahadi hii ya Lukuvi itatimia lini na sisi tulipe kama London au Stockholm?
Kwa nyumba za serikali au aliyojenga mtu binafsi? Labda za serikali kwa nyumba yangu hana ubavu wa kunipangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom