mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau kuna jamaa aliwahi kutangazwa na vyombo vya habari kama sijakosea ilikuwa ITV akielezea jinsi alivyobuni simu yake kama Remote ya kuwasha na kuzima bulb,kufunga na kufungua gate n.k.Wadau wengi walishauri Serikali kupitia Chuo kikuu wajaribu kukutana na huyu mbunifu wamsaidie. Je huyu jamaa bado yupo na je ubunifu wake umefikia hatua gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app