The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Mzuqa
Miaka ya nyuma 2007-2009 Kuna kamishna flani wa TRA bandarini Dar boti za Zenji zinapotia nanga alikuwa na nyodo, ngebe na dharau sana. Yanianatukana Kenge wewe kwa abiria akikagua mizigo . Aliniitukanaga Kenge mbele ya ex wangu aliyenileta Denmark yani nikikumbugaka nammaindi kichiz . Na siyo mimi tuu yani yeye ni kutukana Kenge wewee kwa jazba.
Wengi mnaosafiri sana kwenda na kurudi Dar Zenji huenda mnamfaham na mmekumbana na hii kadhia.
Je bado yupo hapo Bandarini? Narudi bongo likizo karibuni na hii safari ni zamu yake kula vitasa.
Miaka ya nyuma 2007-2009 Kuna kamishna flani wa TRA bandarini Dar boti za Zenji zinapotia nanga alikuwa na nyodo, ngebe na dharau sana. Yanianatukana Kenge wewe kwa abiria akikagua mizigo . Aliniitukanaga Kenge mbele ya ex wangu aliyenileta Denmark yani nikikumbugaka nammaindi kichiz . Na siyo mimi tuu yani yeye ni kutukana Kenge wewee kwa jazba.
Wengi mnaosafiri sana kwenda na kurudi Dar Zenji huenda mnamfaham na mmekumbana na hii kadhia.
Je bado yupo hapo Bandarini? Narudi bongo likizo karibuni na hii safari ni zamu yake kula vitasa.