Tang Zhou
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 1,206
- 2,587
Haraka haraka, baada ya "Brigedia" huyo kupigwa risasi Rais Magufuli "alishtushwa sana na alipiga mguu hadi Lugalo Hospital kwenda kumjulia hali, na yule mgeshi alionekana kuumizwa na kuugulia kwa maumivu kweli kuliko hata kipenzi chetu Lissu...
Sasa tungependa kufahamu, yule ndugu anaendeleaje? Alipona? Hakupatwa na ulemavu? Yeye matibabu yake yalikuwaje akapona haraka, maana sisi kipenzi chetu bado yuko Belgium anauguza majeraha!
Na je, hivi huyo mheshimiwa "Brigedia Mstaafu" siye yuleyule "Dereva Taxi" wa White Sands anayezunguka na Lazaro Mambosasa kwamba ndiye aliyewabeba watekaji wa Mo na kuwapangishia nyumba?
Sasa tungependa kufahamu, yule ndugu anaendeleaje? Alipona? Hakupatwa na ulemavu? Yeye matibabu yake yalikuwaje akapona haraka, maana sisi kipenzi chetu bado yuko Belgium anauguza majeraha!
Na je, hivi huyo mheshimiwa "Brigedia Mstaafu" siye yuleyule "Dereva Taxi" wa White Sands anayezunguka na Lazaro Mambosasa kwamba ndiye aliyewabeba watekaji wa Mo na kuwapangishia nyumba?