thread critic
Member
- Jul 17, 2012
- 71
- 14
Hebu niambieni.
80% ya wa Tanzania wako chini ya miaka 30, na wanajua maendeleo ya dunia ya kisasa na wengi wao ni unemployed na wanaona wazee wao walivyochoka kwa kunywa maji ya bendera.
Hivi huyu Mangula kweli ana kipi cha ajabu ambacho ataweza kukileta ndani ya CCM ? Imekuwaje mpaka wale mahasimu wakubwa wa CCM humu JF wamekuwa wakielezea kuwa ni mtu madhubuti?
whats so special na huyu Mangula?
Hivi kweli kuna uwezekano mtu akawepo CCM na akawa msafi?
unless I've missed something kwenye hii charade ya kupeana vyeo.
80% ya wa Tanzania wako chini ya miaka 30, na wanajua maendeleo ya dunia ya kisasa na wengi wao ni unemployed na wanaona wazee wao walivyochoka kwa kunywa maji ya bendera.
Hivi huyu Mangula kweli ana kipi cha ajabu ambacho ataweza kukileta ndani ya CCM ? Imekuwaje mpaka wale mahasimu wakubwa wa CCM humu JF wamekuwa wakielezea kuwa ni mtu madhubuti?
whats so special na huyu Mangula?
Hivi kweli kuna uwezekano mtu akawepo CCM na akawa msafi?
unless I've missed something kwenye hii charade ya kupeana vyeo.