Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,409
- 119,014
Habari zetu warembo na watanashati.
Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi? tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku za nyuma watu walikuwa wanajichubua kwa kujificha.
Hivi ni kweli hivi vipodozi vya kubadilisha ngozi havina madhara kiafya? Kama vina madhara mamlaka zinazohusika zimeshindwa kuwashughulikia wanaofanya biashara hizi? Kwa kweli nashindwa kuelewa hivi huyu dada ukimuangalia picha yake ya kushoto na kulia kuna tofauti yoyote?
Ipo inayovutia kuliko nyingine? Mimi naona mtu ni yule yule tu nothing more nothing less. Naombeni maoni yenu wadau
Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi? tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku za nyuma watu walikuwa wanajichubua kwa kujificha.
Hivi ni kweli hivi vipodozi vya kubadilisha ngozi havina madhara kiafya? Kama vina madhara mamlaka zinazohusika zimeshindwa kuwashughulikia wanaofanya biashara hizi? Kwa kweli nashindwa kuelewa hivi huyu dada ukimuangalia picha yake ya kushoto na kulia kuna tofauti yoyote?
Ipo inayovutia kuliko nyingine? Mimi naona mtu ni yule yule tu nothing more nothing less. Naombeni maoni yenu wadau