Takwimu oriented....njombe ni Mara chache watu kukuta wakizungumzia zinaa ....Ila Kuna wafanya biashara wengi wa mbao ,mazao na kadhalika...na raia wengi wasio wakaz wanachkulia dawa hko....ukimwi upo Ila sizan Kama ni inavoonekana kwenye takwimu...njombe haijacchafuka kimaadili Wala mtu mmoja mmoja .....watu wake ni berry innocent
...kwamba kula tuu hawashindwi..Shughuli wanazo ila waliowengi unakuta ni kula kulala leo anakula kwa mama, kesho kwa shangazi, mara kwa Dada, mara kwa kaka, wengine kazi zao hazipo kila siku ni za msimu tuu akikamata hela anampa mke wake anaanza kuzungusha, wengi wa hivyo wanashindwa kufanya mambo makubwa lkn kula tu hawashindwi.
Ndo maana kitaa wanavimba + kudunda tuu..Wenzako wamewekeza Q-NET wanapiga hela wamelala, wengine chuma-ULETE... vijana wengi wao wanaishi kwao au kwa shemeji.
Isee kiufupi haya maisha kuna watu wanacheza kwa akili sana..Wapo pia walio busy kuanzia asubuhi hadi jioni wanauza chenchi stendi ,wengine anatembea na karanga za sh mia mia ,au fegi ,Sasa unajiuliza huyo mtu analipaje kodi ya kwa kuuza chenchi hata Kama yupo kwake faida inatosha kwa chakula na mahitaji mengine ?
Mwenzako anatafuta faida sh 2000 kwa siku wakati we ukikaa sehemu unapita unapooza koo na bia za 10,000
AseeMajuzi nilienda kununua samaki ferry ,ukinunua wakukutolea utumbo sh 1500,yeye mwenyewe hana meza ya kumsafisha ananunua meza ya kumsafisha sh 200 ,kisu ya kumtoa utumbo anachukua hapo nayo analipia 200
Hoja safi sana hii.Tatizo vijana katika umri wenu huu wa balobalo mkiambiwa zaeni kwa wingi jengeni nyumba wekezeni katika ARDHI mashsmba kununua mshamba mnakimbilia kununua vigari na niashata za mtandaoni
Hawa wazee tena sasa hivi wamepungua wanafariki wananyumba za kupangisha katikati ya jiji hili utakuta mtu ana nyumba mbili tatu au hata 1 ya vyumba sita ana uhakika kwa mwezi laki 3 plus labda ana watoto 7 wakike wanne
Sasa hapo mizinga kwa wakwe zake bado watoto wake alowalea vema bila kukimbia majukumu hawajamtumia visenti
sasa tabu ya nini na uzee huo anatulia mchana kutwa kutia story
jioni anarudi kwa wakeze tena hutakuta hapo kaongexa dogogo mke wa tatu anafurahia tu uwekezaji wa ujanani
KaWengine Wana mitambo ya chuma ulete.
Wewe una nyumba ngapi mjini ? Una wake wangapi? Usikute hata mmoja huna!Tatizo vijana katika umri wenu huu wa balobalo mkiambiwa zaeni kwa wingi jengeni nyumba wekezeni katika ARDHI mashsmba kununua mshamba mnakimbilia kununua vigari na niashata za mtandaoni
Hawa wazee tena sasa hivi wamepungua wanafariki wananyumba za kupangisha katikati ya jiji hili utakuta mtu ana nyumba mbili tatu au hata 1 ya vyumba sita ana uhakika kwa mwezi laki 3 plus labda ana watoto 7 wakike wanne
Sasa hapo mizinga kwa wakwe zake bado watoto wake alowalea vema bila kukimbia majukumu hawajamtumia visenti
sasa tabu ya nini na uzee huo anatulia mchana kutwa kutia story
jioni anarudi kwa wakeze tena hutakuta hapo kaongexa dogogo mke wa tatu anafurahia tu uwekezaji wa ujanani
ulize kwani wao wanasemajeWakuu habarini.
Mambo yanaendaje..
Wakuu awali ya yote natambua/mnatambua kuwa maisha ya mjini haswa ukiwa umepanga + ukiwa na watoto ni changamoto nzito.Hivyo inahitaji uchapakazi/utafutaji maisha yaende.
Wakuu jana asubuhi nikiwa naelekea kwenye harakati za utafutaji nikiangaza angaza macho huku na kule kuna wazee fulani + vijana wamekaa kwenye kijiwe, nahisi walikuwa wakipata kahawa kama sio chai huku wakiendelea kuchambua hotuba ya juzi ya Mh Raisi.
Kilichonifanya mpaka nikaleta hii thread hapa niliporudi mida ya mchana... kwa sabbu nilipata emergence kidogo kuna kitu nilisahau....sasa ile kuangaza macho formation ni ile ile niliyoiacha asubuhi(wazee flani na kofia zao) huku wakicheza draft.
Ilinipa tafakari kidogo nikajiuliza hivi hawa jamaa hadi jioni watakuwepo?...Cha ajabu Ile niliporudi mida ya kumi na mbili hivi na alama formation ni ile ile, Ila nahisi kuna baadhi ambao ni wachache nahisi walipungua( japo formation ni ile ile) niliowakumbuka kuna wazee wanne hivi waliokuwa wamevalia kofia, rasi, big na wengine kama sita hivi.
Hao wazee wanne niliwamark toka asubuhi kwa sababu ya kofia zao, ila hao wengine niliwamark mchana japo nahsi tangu asubuhi walikuwepo.
Ok, sasa wakuu lengo langu sio kutangaza life style ya mtu humu/kufuatilia na pia sitarajii kwa sabbu sipendi majungu + umbeya ila kwa sababu humu ni jamii pana na hatutambuani nina imani may be kuna jinsi wenzetu wanarelax na maisha ilihali wengine tunasota.
Sasa Jee wanayaendesha vipi maisha ya hapa mjini? au wamewekeza? Na hata kama wamewekeza nahisi sio kwa idadi ile niliyo iona.