Hivi we GuDumee utaacha lini tabia ya kumfungulia nyuzi humu kila mwanamke aliyekuchuna?

Mkuu, yaani umejiunga leo na kuanza na GuDume? Si utumie ID yako ya zamani tu? Lakini, nanyi wanawake mbadilike. Si vyema kuala vya watu halafu mnazungua. Pesa inatafutwa kwa jasho, si jambo la kutapeli kirahisi kama mnavyofanya. Mjirekebishe ili msisemane.
Inahusuuu
 
Loooh

Mwanaume ana Gubu huyuu sijapata kuona yani. Hata ule miatano yake ni lazima aje kukufungulia nyuzi hapa ya kulia lia. Mwanamke anahitaji matunzo babuu, sio ukihonga unamtangaza mtu hebu badilika we mwanaume

Chefuuuu.....
Punguza hasira mama, amekugegeda bila malipo au tuambie tukusaidie? hadi umemfungulia acc feki kumpa vidonge sio mchezo
 
Loooh

Mwanaume ana Gubu huyuu sijapata kuona yani. Hata ule miatano yake ni lazima aje kukufungulia nyuzi hapa ya kulia lia. Mwanamke anahitaji matunzo babuu, sio ukihonga unamtangaza mtu hebu badilika we mwanaume

Chefuuuu.....
utakuwa wa facebook wewe
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom