technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,841
Wanasheria nataka tuangalie uwezekano wa Waziri wa Afya kushitakiwa kwa uzembe wake na kushindwa kuwajibika kwa Watanzania.
Najuwa bosi wake anayo Kinga Kikatiba ila yeye hana kinga hivi hakuna uwezekano wa kufungua kesi kumshitaki kwa uzembe wa vifo vya Corona na kuficha takwimu?
Najuwa bosi wake anayo Kinga Kikatiba ila yeye hana kinga hivi hakuna uwezekano wa kufungua kesi kumshitaki kwa uzembe wa vifo vya Corona na kuficha takwimu?