Naomba mnipatie majibu niliyoshindwa kuyapata baada ya kuona waziri anafukuzwa kwa makosa ya mkurugenzi halafu mkurugenzi ekelege anaachiwa aendelee kutesa na kusafiri kwenda japan kwa hela za walipa kodi
Bongo land hiyo baba Pinda kumfukuza kazi katibu mkuu wa afya lakini hana nguvu na katibu mkuu wa Nishati na madini (Jairo)???????????????????
Waziri na wakurugenzi wote huteuliwa na rais. Waziri alikosea yeye alitakiwa ahakikishe huyo mkurugenzi kafukuzwa kabla hakijanuka kwake. Mimi nilitegemea katibu mkuu na mkurugenzi wangekuwa wameondoka siku nyingi maana wao ndio masignatory wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.