Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Kwa wazoefu na wanaojua tafadhali.
Nauliza hili kutokana na comment ya JokaKuu
Any anaejua.
Nauliza hili kutokana na comment ya JokaKuu
cdf hawezi ku-command kmkm na jku kwasababu vyombo hivyo si sehemu ya jwtz.
..kmkm na jku wako chini ya serikali ya mapinduzi Zanzibar na hawafanyi kazi nje ya mipaka ya Znz.
Any anaejua.