Hivi Watz bado mnaangalia taarifa ya Habari saa 2 kuangalia utumbuaji??

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Ramadhani kareem
Nakumbuka wakati utawala wa awamu ya 5 unaingia madarakani na rais Magufuli kuja na mtindo wa kutumbua watumishi,alivutia Watanzania wengi Sana kwenye TV muda wa taarifa ya Habari
Bar nyingi zilijaza watu kuangalia taarifa ya Habari na watu walishangilia Sana pale inapotangazwa habari ya kutumbuliwa mtu
Je Watanzania bado mnajazana kwenye TV kumwangalia Pombe akitumbua au ndo mmeacha???
 
Ramadhani kareem
Nakumbuka wakati utawala wa awamu ya 5 unaingia madarakani na rais Magufuli kuja na mtindo wa kutumbua watumishi,alivutia Watanzania wengi Sana kwenye TV muda wa taarifa ya Habari
Bar nyingi zilijaza watu kuangalia taarifa ya Habari na watu walishangilia Sana pale inapotangazwa habari ya kutumbuliwa mtu
Je Watanzania bado mnajazana kwenye TV kumwangalia Pombe akitumbua au ndo mmeacha???
Saa ivi waliokuwa wanashangilia wamegeukiwa wao wanatumbuliwa bila kujijua ndo maana hawajazani.
 
Me naangaliaga ITV kwasababu naipenda tu wanavotoa taarifa navutiwa ila ikifika mambo ya CCM na turn off kwanza mpaka yaishe ndo naweka tena :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes: :rolleyes:
 
MITANDAO KIBAOO AFU NIKATIZAME TV TENA??!!!MUDA HUO NAJILAZA HUKU NAKULA TENDE NA MAZIWA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom