Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,179
Poleni sana watumishi, ni mwaka mwingine wa machungu tena kwenu..., nimeshangaa nilivokuja likizo nakutana na mtu analipwa 300k na ni mtumishi wa umma tena kwa mwezi, serious?
mnawezaje kuishi kwa mshahara wa 300k bila allowance nyingine yeyote kwa mwezi?, mnahudumiaje familia zenu, kulipa bill za nyumba, chakula na usafiri kwenda na kurudi makazini mnamudu vipi?.
huyu mke wangu namuachisha hii kazi ya ualimu mda si mrefu aisee
huu mshahara wa basic ya 300k mnawezaje kuishi huku kila siku mkitakiwa muwe kazini, mnajenga vipi au mpaka mstaafu? na mkiistaafu mnakutana na nssf na psssf mnachokutana nacho huko kwa taasisi hizi za mafao mnakijua wenyewe, kwa wale mlio ajiriwa na mnao tamani ajira kwa awamu hii jiandaeni kufa kwa msongo wa mawazo.
mnawezaje kuishi kwa mshahara wa 300k bila allowance nyingine yeyote kwa mwezi?, mnahudumiaje familia zenu, kulipa bill za nyumba, chakula na usafiri kwenda na kurudi makazini mnamudu vipi?.
huyu mke wangu namuachisha hii kazi ya ualimu mda si mrefu aisee
huu mshahara wa basic ya 300k mnawezaje kuishi huku kila siku mkitakiwa muwe kazini, mnajenga vipi au mpaka mstaafu? na mkiistaafu mnakutana na nssf na psssf mnachokutana nacho huko kwa taasisi hizi za mafao mnakijua wenyewe, kwa wale mlio ajiriwa na mnao tamani ajira kwa awamu hii jiandaeni kufa kwa msongo wa mawazo.