Bwajilo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2021
- 345
- 880
Kama umeamua kwa utashi wako tu kuwa mpangaji hali ya kuwa uwezo unao Sina neno kwako.
Tuache utani fikiria umepanga na huonyeshi hata dalili ya kumudu gharama za ujenzi. Fikiria wengine ndio mpaka wamezaa watoto na watoto wanazaa wajukuu humohumo ndani ya pango.
Hivi kichwa chako huwa kinafikiria nini?
Kwamba mwisho wako ni nini?
Unafikiri ukimaliza utarudi kwenu bush ubutue jumba ya tembe?
Au huwa unaridhika kwamba utafugwa katika hostel za watu mpaka lini?
Tuache utani fikiria umepanga na huonyeshi hata dalili ya kumudu gharama za ujenzi. Fikiria wengine ndio mpaka wamezaa watoto na watoto wanazaa wajukuu humohumo ndani ya pango.
Hivi kichwa chako huwa kinafikiria nini?
Kwamba mwisho wako ni nini?
Unafikiri ukimaliza utarudi kwenu bush ubutue jumba ya tembe?
Au huwa unaridhika kwamba utafugwa katika hostel za watu mpaka lini?