mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Sera bora hutegemea yafuatayo;
1. Nini uhitaji wa hiyo SERA kwa jamii?
2. Ushirikishwaji wa wadau (wanajamii, wanasiasa, dini, & watekelezaji/implementors wa hiyo sera ili kupata maoni sahihi
3. Mchango wa tafiti kadhaa kuhusu hiyo SERA
4. Utekelezaji bora wa SERA husika
SIASA
Najua kuna kundi la kutetea chama tawala,lakini kundi sahihi kwa nchi ni lile linalotoa ninikifanyike.
Hii dhana ya shule ni upotezaji wa muda imewaingia hawa vijana kwa kasi. Yani betting na kampani hawaoni kama inapoteza muda (kiume), na wa (kike )hawaoni engage yao kwenye drama za dating na fashion trends kama upotezaji wa muda.
Policy makers +Teknolojia = hapa kazi tunayo
Mr Mkiki.
1. Nini uhitaji wa hiyo SERA kwa jamii?
2. Ushirikishwaji wa wadau (wanajamii, wanasiasa, dini, & watekelezaji/implementors wa hiyo sera ili kupata maoni sahihi
3. Mchango wa tafiti kadhaa kuhusu hiyo SERA
4. Utekelezaji bora wa SERA husika
SIASA
Najua kuna kundi la kutetea chama tawala,lakini kundi sahihi kwa nchi ni lile linalotoa ninikifanyike.
Hii dhana ya shule ni upotezaji wa muda imewaingia hawa vijana kwa kasi. Yani betting na kampani hawaoni kama inapoteza muda (kiume), na wa (kike )hawaoni engage yao kwenye drama za dating na fashion trends kama upotezaji wa muda.
Policy makers +Teknolojia = hapa kazi tunayo
Mr Mkiki.