Hivi watanzania wanahitaji ripoti kuhusu MCHANGA(makombo)au DHAHABU iliyozalishwa na migodi?

Narudia tena NI UTAAHIRA MKUBWA kwa nchi kuacha dhahabu yake ichukuliwe bila kufaidika na kwenda kupoteza muda kwenye mchanga wa mabaki ya hiyo dhahabu husika. Huo mchanga KAMWE hauwezi kuwa na thamani kubwa kuliko dhahabu.
Nami narudia tena kukuelewesha ule si "mchanga bwete" bali ni "processed high grade gold ore"
Mzungu hasafirishi "mabaki" kwenda kwao kusafisha hata siku moja hawezi fanya biashara kichaa kama hio ndugu.
HUWEZI PATA DHAHABU KAMA HUNA MCHANGA WA DHAHABU Tafadhali elewa soma na elewa vyema sentence hii.
 
Ninachojua au kudhani ninajua ni kwamba ripoti inayotolewa kesho ni kuhusu mchanga uliobaki baada ya Dhahabu nyingi kufyonzwa na kupelekwa ulaya!

Yaliyobaki ni makombo,yaani chakula kimeliwa,kinachofanywa ni kukokoa ukoko kuhakikisha sufuria halina kitu!

Je kwa nini tunatumia nguvu kugombania makombo na si Dhahabu ile nyingi inayokwenda? Yaani mwana mfalme anagombania makombo(mchanga)?

Tunahitaji juhudi kufaidi chakula halisi,mbona hatuambiwi Dhahabu halisi tumepunjwa wapi tunaishia kugombania makombo yanayodondoka meza kuu baada ya chakula kuliwa?

Nadhani ndugu zangu wabunge wa ccm wanajifunza matunda ya kusema "NDIYOOOOOOO........" Katika miswaada mbalimbali inayipelekwa bungeni na KUWAZOMEA wapinzani wanapotaka kuirekebisha ili iwe na maslahi kwa taifa.Mmoja wa miswada ni muswada wa Madini!!!!

NDIYOOOOO!!! Na kupongeza kwa asilimia 100 kumefanya migodi isilipe kodi kwa asilimia 100 na muda si mrefu migodi inaanza maandalizi ya kufunga biashara na kuondoka!! Wanaondoka wakituacha tumekula hasara asilimia 100!! Tena bila kufanya diversification......south Africa waliiwekeza faida katika Kilimo maeneo ya migodi ili kubalansi uchumi pale migodi inapofungwa,wanashinyanga watayumba migodi ikifungwa,zile baa,mahoteli,majumba yatakosa wakaaji kama ilivyo kwa miji ya russia

KWA WASIOJUA

Makombo ni mabaki ya chakula kilicholiwa,inaweza kuwa mifupa ya kuku yenye mabaki ya mate na vinyama kidogo,wali uliodondoka chini au kubaki kwenye sinia baada ya kushikwashikwa na wanaomega tonge
Ungemuuliza kwanza Mashinji kwann ameugomea ukatibu mkuu wa chagadema,???
 
Sawa sawa ndugu nakubaliana na wewe. Hili ndilo suala ambalo tungelipaswa kufanya, ni vigumu sana tena sana kutegemea mwekezaji wa nje aje atumie 100% ya capital kwenye uwekezaji wa billions of money kuanzia exploration phase, development phase hadi production phase halafu utegemee eti akufaidishe wewe mwenye nchi. Hata kwangu ingekuwa ni ngumu.
They are always after profit na ndio maana wanatumia gharama kubwa pia kuajili highly experienced tax advisors ili kutafuta loopholes katika sheria za nchi husika ilikukwepa kodi.
Na tusitegemee kufaidika hata siku moja kwenye rasilimali hizi kama tusipobadirika na sisi kuwa na shares angalau 30% katika initial investments, hii kidogo itawabana kwa sababu na serikali nayo inakuwa la kusema katika uendeshaji wa company. Tunawapa mamlaka makubwa mno katika raslimali zetu.
Bila kufanya hivyo hata gas ya mtwara haiwezi kutufaidisha bali itafadisha nchi zao ambako pesa zote ndiko ziendako.
Kingine wataalamu wapo wanamaliza kila mwaka geologists, mineral processing engineers na mining engineers toka chuo cha madini, UDSM na UDOM. Lakini capital iko wapi na nchi yetu wanasema ni maskini haiwezi anzisha mradi mkubwa na wawekezaji wazawa wanaogopa.
Umenena vizuri,sasa ni wakati wa serikali kuwa na share migodini,isihangaike na michanga!!
 
Narudia tena NI UTAAHIRA MKUBWA kwa nchi kuacha dhahabu yake ichukuliwe bila kufaidika na kwenda kupoteza muda kwenye mchanga wa mabaki ya hiyo dhahabu husika. Huo mchanga KAMWE hauwezi kuwa na thamani kubwa kuliko dhahabu.
Kweli kabisa! Yaani wananchi hatutaielewa serikali,inagombania mchanga wakati imeacha Dhahabu imekwenda,akili ya wapi hii?
 
Ninachojua au kudhani ninajua ni kwamba ripoti inayotolewa kesho ni kuhusu mchanga uliobaki baada ya Dhahabu nyingi kufyonzwa na kupelekwa ulaya!

Yaliyobaki ni makombo,yaani chakula kimeliwa,kinachofanywa ni kukokoa ukoko kuhakikisha sufuria halina kitu!

Je kwa nini tunatumia nguvu kugombania makombo na si Dhahabu ile nyingi inayokwenda? Yaani mwana mfalme anagombania makombo(mchanga)?

Tunahitaji juhudi kufaidi chakula halisi,mbona hatuambiwi Dhahabu halisi tumepunjwa wapi tunaishia kugombania makombo yanayodondoka meza kuu baada ya chakula kuliwa?

Nadhani ndugu zangu wabunge wa ccm wanajifunza matunda ya kusema "NDIYOOOOOOO........" Katika miswaada mbalimbali inayipelekwa bungeni na KUWAZOMEA wapinzani wanapotaka kuirekebisha ili iwe na maslahi kwa taifa.Mmoja wa miswada ni muswada wa Madini!!!!

NDIYOOOOO!!! Na kupongeza kwa asilimia 100 kumefanya migodi isilipe kodi kwa asilimia 100 na muda si mrefu migodi inaanza maandalizi ya kufunga biashara na kuondoka!! Wanaondoka wakituacha tumekula hasara asilimia 100!! Tena bila kufanya diversification......south Africa waliiwekeza faida katika Kilimo maeneo ya migodi ili kubalansi uchumi pale migodi inapofungwa,wanashinyanga watayumba migodi ikifungwa,zile baa,mahoteli,majumba yatakosa wakaaji kama ilivyo kwa miji ya russia

KWA WASIOJUA

Makombo ni mabaki ya chakula kilicholiwa,inaweza kuwa mifupa ya kuku yenye mabaki ya mate na vinyama kidogo,wali uliodondoka chini au kubaki kwenye sinia baada ya kushikwashikwa na wanaomega tonge
Inakusaidia nini kupinga kila kitu? Hovyo kabisa
 
Ninachojua au kudhani ninajua ni kwamba ripoti inayotolewa kesho ni kuhusu mchanga uliobaki baada ya Dhahabu nyingi kufyonzwa na kupelekwa ulaya!

Yaliyobaki ni makombo,yaani chakula kimeliwa,kinachofanywa ni kukokoa ukoko kuhakikisha sufuria halina kitu!

Je kwa nini tunatumia nguvu kugombania makombo na si Dhahabu ile nyingi inayokwenda? Yaani mwana mfalme anagombania makombo(mchanga)?

Tunahitaji juhudi kufaidi chakula halisi,mbona hatuambiwi Dhahabu halisi tumepunjwa wapi tunaishia kugombania makombo yanayodondoka meza kuu baada ya chakula kuliwa?

Nadhani ndugu zangu wabunge wa ccm wanajifunza matunda ya kusema "NDIYOOOOOOO........" Katika miswaada mbalimbali inayipelekwa bungeni na KUWAZOMEA wapinzani wanapotaka kuirekebisha ili iwe na maslahi kwa taifa.Mmoja wa miswada ni muswada wa Madini!!!!

NDIYOOOOO!!! Na kupongeza kwa asilimia 100 kumefanya migodi isilipe kodi kwa asilimia 100 na muda si mrefu migodi inaanza maandalizi ya kufunga biashara na kuondoka!! Wanaondoka wakituacha tumekula hasara asilimia 100!! Tena bila kufanya diversification......south Africa waliiwekeza faida katika Kilimo maeneo ya migodi ili kubalansi uchumi pale migodi inapofungwa,wanashinyanga watayumba migodi ikifungwa,zile baa,mahoteli,majumba yatakosa wakaaji kama ilivyo kwa miji ya russia

KWA WASIOJUA

Makombo ni mabaki ya chakula kilicholiwa,inaweza kuwa mifupa ya kuku yenye mabaki ya mate na vinyama kidogo,wali uliodondoka chini au kubaki kwenye sinia baada ya kushikwashikwa na wanaomega tonge
Si usubiri report, haraka ya nini
 
Ninachojua au kudhani ninajua ni kwamba ripoti inayotolewa kesho ni kuhusu mchanga uliobaki baada ya Dhahabu nyingi kufyonzwa na kupelekwa ulaya!

Yaliyobaki ni makombo,yaani chakula kimeliwa,kinachofanywa ni kukokoa ukoko kuhakikisha sufuria halina kitu!

Je kwa nini tunatumia nguvu kugombania makombo na si Dhahabu ile nyingi inayokwenda? Yaani mwana mfalme anagombania makombo(mchanga)?

Tunahitaji juhudi kufaidi chakula halisi,mbona hatuambiwi Dhahabu halisi tumepunjwa wapi tunaishia kugombania makombo yanayodondoka meza kuu baada ya chakula kuliwa?

Nadhani ndugu zangu wabunge wa ccm wanajifunza matunda ya kusema "NDIYOOOOOOO........" Katika miswaada mbalimbali inayipelekwa bungeni na KUWAZOMEA wapinzani wanapotaka kuirekebisha ili iwe na maslahi kwa taifa.Mmoja wa miswada ni muswada wa Madini!!!!

NDIYOOOOO!!! Na kupongeza kwa asilimia 100 kumefanya migodi isilipe kodi kwa asilimia 100 na muda si mrefu migodi inaanza maandalizi ya kufunga biashara na kuondoka!! Wanaondoka wakituacha tumekula hasara asilimia 100!! Tena bila kufanya diversification......south Africa waliiwekeza faida katika Kilimo maeneo ya migodi ili kubalansi uchumi pale migodi inapofungwa,wanashinyanga watayumba migodi ikifungwa,zile baa,mahoteli,majumba yatakosa wakaaji kama ilivyo kwa miji ya russia

KWA WASIOJUA

Makombo ni mabaki ya chakula kilicholiwa,inaweza kuwa mifupa ya kuku yenye mabaki ya mate na vinyama kidogo,wali uliodondoka chini au kubaki kwenye sinia baada ya kushikwashikwa na wanaomega tonge
Mkuu wewe ndiyo makombo waliyotapika wenziyo wa ukawa majuzi. Ni lini kulikuwa na kira ya ndiyooooooooo kipeleka mchangs Ulaya? Niliyosikia juzi wakisema ndiyooooooo ilikuwa ni kupitisha bajeti ya wizara ya mifugo.
 
Sina cha kujifunza kwako wewe. Katafute wengine wa kuwadanganya kuhusu huo mchanga uliojaa dhahabu.

Utaelewa na kujifunza ukiwa unasoma au kusikiliza kwa lengo la kujifunza, utabaki na ujinga hivyo hivyo ukiendelea kusoma au kusikiliza kwa lengo la kujibu au kubishana!
 
Anko umetumia Muda mwingi kuandika jambo usilo lijua.
Sisi tupo mgodini kiajira.

Kaa kimya, report ikikabidhiwa na serikali kuchukua hatua ndo uandike uchafu wako
Unaweza kuwa mgodini na usijue!
Toa jibu kati ya madini na mabaki ya madini kipi muhimu kufatiliwa?Madini yanaondoka kwa airports zilizopo migidini while mchanga unaondokea Bandarini,sasa nani anafaidi?Wewe uoo mgodini unasema unajua lakini umeshawah kuiona hiyo mikataba?
 
Kuongeza ongea VAT na concession Fee kwenye Utalii

Maghembe vipee

Wazungu wametunyima Msaada kwa ujinga wetu ( Kuminya Demokrasia, Sheria ya mitandao, Uhuru wa Habari na wizi wa kura)

Akili ya mwenda wazimu kudhani kuwa kupandisha Permit na concession ni kukomoa wazungu (watalii)...Kwani Botswana hakuna Wanyama, South Africa, Kenya?

Wazungu wataziri kuja TZ, na mtakosa zote
Nchi iko ktk kipindi kigumu hata kuliko wakati wa ukoloni kisa jk na chuki dhidi ya Edo,matokeo tukaletewa sisonje kichaa
 
Hawa Bavicha na CDM kwa ujumla ni watu ambao kila siku tunaongea kuwa wana upeo mdogo sana japo wanapenda sana kujitutumua

Alichoandika mleta mada ni udhihirisho tosha.
 
Back
Top Bottom