Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
labda tutadai fidia.
Jamaa lazima watakuwa na contract ya kupeleka mchanga nje,na walikuwa wanapeleka baada ya Taasisi ya serikali iitwayo Tanzania Mineral Agency kuukagua mchanga huo na kutoka kibali,sasa tuone serikali inavikataaje vibali ilivyotoa yenyeweSasa huo mchanga unadhani unakurupuka tu na kubadili makubaliano ya nyuma!?
Jamaa lazima watakuwa na contract ya kupeleka mchanga nje,na walikuwa wanapeleka baada ya Taasisi ya serikali iitwayo Tanzania Mineral Agency kuukagua mchanga huo na kutoka kibali,sasa tuone serikali inavikataaje vibali ilivyotoa yenyewe
Pia hawa jamaa huwezi kuwalazimisha wajenge mtambo wa kuchenjua mchanga wakati wanajua mgodi wenyewe hauna muda mrefu wa kuzalisha na hiyo sio sehemu ya mkataba
Lakini pia hawawezi export MCHANGA usio na kitu au wenye kitu kidogo, jamaa kaeleza vizuri tu na kitaalamu sijui kwanini hamuelewi.Mzungu asingewekeza mabilioni yake kupata hicho unachokisema,huo uwanja wa ndege mgodini ni kwq ajili ya kubeba Dhahabu,ingekuwa hivyo unavyosema,basi wasingewekeza
we mzee 'kiboko' Haya sasa nyumbu jitokezeni junyoosha
Asante sana ila wamezidi kiasi kwamba wanajiona wasafi mkuuwe mzee 'kiboko' Haya sasa nyumbu jitokezeni junyoosha
We ndugu yakupasa ufahamu kuwa ule si MCHANGA bali gold concentrate(high grade ore)Utakuwa ni zuzu wewe kuacha dhahabu ichukuliwe na hao wachukuaji na sisi kuambulia royalties ya 4% tu. Kama kweli tunataka kufaidika na rasilimali za nchi kwanini tusishupalie mikataba ya dhahabu yenyewe ili iboreshwe badala ya kung'ang'ana na mchanga!
Ni utaahira wa hali ya juu dhahabu inachukuliwa bure kabisa halafu tunapoteza muda na mchanga. Aliyeiita hii nchi kichwa cha mwendawazimu hakukosea kabisa.
NATANGAZA HADHARANI KWAMBA SITATHUBUTU KUFUATILIA RIPOTI YA MAPANKI YA DHAHABU , EEE MWENYEZI MUNGU NISAIDIE .Ninachojua au kudhani ninajua ni kwamba ripoti inayotolewa kesho ni kuhusu mchanga uliobaki baada ya Dhahabu nyingi kufyonzwa na kupelekwa ulaya!
Yaliyobaki ni makombo,yaani chakula kimeliwa,kinachofanywa ni kukokoa ukoko kuhakikisha sufuria halina kitu!
Je kwa nini tunatumia nguvu kugombania makombo na si Dhahabu ile nyingi inayokwenda? Yaani mwana mfalme anagombania makombo(mchanga)?
Tunahitaji juhudi kufaidi chakula halisi,mbona hatuambiwi Dhahabu halisi tumepunjwa wapi tunaishia kugombania makombo yanayodondoka meza kuu baada ya chakula kuliwa?
Nadhani ndugu zangu wabunge wa ccm wanajifunza matunda ya kusema "NDIYOOOOOOO........" Katika miswaada mbalimbali inayipelekwa bungeni na KUWAZOMEA wapinzani wanapotaka kuirekebisha ili iwe na maslahi kwa taifa.Mmoja wa miswada ni muswada wa Madini!!!!
NDIYOOOOO!!! Na kupongeza kwa asilimia 100 kumefanya migodi isilipe kodi kwa asilimia 100 na muda si mrefu migodi inaanza maandalizi ya kufunga biashara na kuondoka!! Wanaondoka wakituacha tumekula hasara asilimia 100!! Tena bila kufanya diversification......south Africa waliiwekeza faida katika Kilimo maeneo ya migodi ili kubalansi uchumi pale migodi inapofungwa,wanashinyanga watayumba migodi ikifungwa,zile baa,mahoteli,majumba yatakosa wakaaji kama ilivyo kwa miji ya russia
KWA WASIOJUA
Makombo ni mabaki ya chakula kilicholiwa,inaweza kuwa mifupa ya kuku yenye mabaki ya mate na vinyama kidogo,wali uliodondoka chini au kubaki kwenye sinia baada ya kushikwashikwa na wanaomega tonge
Ili kukwepa yote haya , kwanini msichimbe wenyewe hiyo dhahabu ili muambulie vyote ?We ndugu yakupasa ufahamu kuwa ule si MCHANGA bali gold concentrate(high grade ore)
Gold inapatikana kwa kiasi kikubwa in form of ores(mchanganyiko au compund ya gold na madini mengine kama copper) na ni nadra kuipata gold in pure state. Hivyo dhahabu inapatikana zaidi katika hali hio ya MCHANGA au unafikiri wakisha blast mwamba ndio basi wanatoka na dhahabu? Mchanga huo unahitaji processing ndugu ili kutenganisha mchanga "halisi" na dhahabu.
Mzungu hawezi kuwa chizi asafirishe tonnes za uchafu usio na FAIDA hata siku moja.
Na tunaibiwa sana wanapoenda kusafisha dhahabu hio kwao sababu wanacho-recover si gold pekee bali na madini mengine Yaliochanganyika na dhahabu.
Hivyo report hii ni ya muhimu sana kwa taifa.
Hata hivyo mikataba nayo ni tatizo.
100%Kama watanzania na waafrika kwa ujumla hamtatambua matatizo yenu kwa undani wake kabisa mtabaki kuwa watu wa kulaumu na kulumbana tu hadi kiama.
Iko hivi;
Unakaribisha biashara mpya ndani ya nchi yako, unaita wafanyabiashara walio katika hiyo gemu na uzoefu wa hiyo biashara kwa miaka nenda rudi.
Inafika hatua ya kunegotiate deal, mfanyabiashara analeta jopo la wazee ambao wapo kwenye gemu ya hiyo biashara kwa miaka 40 hadi 50 wakiwa wameshika position za kila aina katika makampuni tofauti tofauti, wanaielewa hiyo biashara nje ndani, wana experience ya kila kitu.
Wewe katika negotiation panel unapeleka mawaziri na makatibu wa wizara, walimu wa vyuo vikuu na wachambuzi magazetini, hao ndio wanaenda kujadili deal na vile vizee vilivyokulia na kuzekea kwenye hiyo biashara. Wewe huna watu wenye operational experience ya hiyo biashara, basi angalau hata ukodi makampuni yenye uzoefu na hizo biashara wasimame badala yako katika kujadili hiyo mikataba kuliko kutegemea viongozi wa serikali walioenda kufanya ziara ya wiki moja migodini nje ya nchi.
Hapa vizee vile vinakaa tu vinawasikiliza mnavyojiunguza wenyewe, hamjui mnachokisema wala kukifanya.
Hapo ndipo tulipoangukia.
Kwa ninyi mlio katika mtazamo wa kisiasa zaidi endeleeni kulaumu na kutukana viongozi wa kisiasa, ukweli ni kwamba siasa zinatawala utaalamu katika Afrika yote kusini mwa jangwa la sahara
We ndugu yakupasa ufahamu kuwa ule si MCHANGA bali gold concentrate(high grade ore)
Gold inapatikana kwa kiasi kikubwa in form of ores(mchanganyiko au compund ya gold na madini mengine kama copper) na ni nadra kuipata gold in pure state. Hivyo dhahabu inapatikana zaidi katika hali hio ya MCHANGA au unafikiri wakisha blast mwamba ndio basi wanatoka na dhahabu? Mchanga huo unahitaji processing ndugu ili kutenganisha mchanga "halisi" na dhahabu.
Mzungu hawezi kuwa chizi asafirishe tonnes za uchafu usio na FAIDA hata siku moja.
Na tunaibiwa sana wanapoenda kusafisha dhahabu hio kwao sababu wanacho-recover si gold pekee bali na madini mengine Yaliochanganyika na dhahabu.
Hivyo report hii ni ya muhimu sana kwa taifa.
Hata hivyo mikataba nayo ni tatizo.
Wakala wa madini huchukua sample kabla ya kusafirishwa kwenda nje,na kupima kiwango cha makombo kilichomo,na TRA hulipwa chake kabisaaaa kabla mchanga haujasafirishwaWe ndugu yakupasa ufahamu kuwa ule si MCHANGA bali gold concentrate(high grade ore)
Gold inapatikana kwa kiasi kikubwa in form of ores(mchanganyiko au compund ya gold na madini mengine kama copper) na ni nadra kuipata gold in pure state. Hivyo dhahabu inapatikana zaidi katika hali hio ya MCHANGA au unafikiri wakisha blast mwamba ndio basi wanatoka na dhahabu? Mchanga huo unahitaji processing ndugu ili kutenganisha mchanga "halisi" na dhahabu.
Mzungu hawezi kuwa chizi asafirishe tonnes za uchafu usio na FAIDA hata siku moja.
Na tunaibiwa sana wanapoenda kusafisha dhahabu hio kwao sababu wanacho-recover si gold pekee bali na madini mengine Yaliochanganyika na dhahabu.
Hivyo report hii ni ya muhimu sana kwa taifa.
Hata hivyo mikataba nayo ni tatizo.
aaa,hao sera yao ni kutetea maovu,si unaona,hawataki riport iletwe kwa alio watuma,yaani nyumbu wanatetemekaMbona vijana wa CHADUMAA wamepanik sana, kwanini wanahofu sana
Sawa sawa ndugu nakubaliana na wewe. Hili ndilo suala ambalo tungelipaswa kufanya, ni vigumu sana tena sana kutegemea mwekezaji wa nje aje atumie 100% ya capital kwenye uwekezaji wa billions of money kuanzia exploration phase, development phase hadi production phase halafu utegemee eti akufaidishe wewe mwenye nchi. Hata kwangu ingekuwa ni ngumu.Ili kukwepa yote haya , kwanini msichimbe wenyewe hiyo dhahabu ili muambulie vyote ?
Dhahabu yote inayochimbwa Buzwagi na Bulyanhulu iko katika mchanga mkuu, hakuna dhahabu inayopatikana ikiwa yenyewe tu kama jiwe. Jiolojia ya ukanda ule haina dhahabu ya namna hiyo.
Mawe yooote yanasagwa kwa vinu vikubwa na kuwa mchanga mdogo kabisa saizi ya vumbi na kisha kuanza kupita katika mitambo inayotenganisha dhahabu inayojiachia kutoka kwenye mchanga kwa njia ya gravity(free gold -isiyoshikamana na madini ya sulfide) kwa sababu ya density yake kubwa na nyingine inayoshindwa kujitoa kwenye sulfide minerals inawekewa kemikali inayoifanya ielee kwenye povu (Flotation process) na kisha kukwangua povu hilo, kulikamua na kukausha na hapo ndipo unapatikana huo mchanga wa dhahabu (Concentrate) ambao pia unakuwa na copper na silver.
Natumaini nimetumia lugha nyepesi ambayo utakuwa umeelewa...
Ndugu sidhani kama umenielewa yale si "makombo" kama ufikiriavyoWakala wa madini huchukua sample kabla ya kusafirishwa kwenda nje,na kupima kiwango cha makombo kilichomo,na TRA hulipwa chake kabisaaaa kabla mchanga haujasafirishwa
Dhahabu yote inayochimbwa Buzwagi na Bulyanhulu iko katika mchanga mkuu, hakuna dhahabu inayopatikana ikiwa yenyewe tu kama jiwe. Jiolojia ya ukanda ule haina dhahabu ya namna hiyo.
Mawe yooote yanasagwa kwa vinu vikubwa na kuwa mchanga mdogo kabisa saizi ya vumbi na kisha kuanza kupita katika mitambo inayotenganisha dhahabu inayojiachia kutoka kwenye mchanga kwa njia ya gravity(free gold -isiyoshikamana na madini ya sulfide) kwa sababu ya density yake kubwa na nyingine inayoshindwa kujitoa kwenye sulfide minerals inawekewa kemikali inayoifanya ielee kwenye povu (Flotation process) na kisha kukwangua povu hilo, kulikamua na kukausha na hapo ndipo unapatikana huo mchanga wa dhahabu (Concentrate) ambao pia unakuwa na copper na silver.
Natumaini nimetumia lugha nyepesi ambayo utakuwa umeelewa...