Wana JF, hivi Mze Cheo wa UDP wakati anagombea urais kipindi kile, alikua na sera ya kutujaza mapesa Watanzania lakini wakati wa kupiga kura sijui hata kama alijipatia hata nusu ya robo ya idadi ya wapiga kura . Hivi huyu mze tulikua tunamuelewa vizuri na hii sera ya chama chake cha UDP au tulimpotezea tu?
Je sasa akiamua kurudi na gia ileile mwaka 2020, nafikiri sasa atapata wapiga kura wengi kuliko miaka yote na huyu mze yaweza kufikiri waliompigia kura kwa wingi hawajawahi kupiga kura katika maisha yao.
Je sasa akiamua kurudi na gia ileile mwaka 2020, nafikiri sasa atapata wapiga kura wengi kuliko miaka yote na huyu mze yaweza kufikiri waliompigia kura kwa wingi hawajawahi kupiga kura katika maisha yao.