Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Dah we jiniaz... mi najua lugha tatu tu. Yani kiswahili ndo namba moja. Kikwetu na kimalkia nafanya kuungaunga tu yani... dah

Afu pamoja nakuwa mahiri wa kulonga kiswahili bado O level nikalamba C ya Kiswahili. Yaani NECTA wananiaminisha hata Kiswahili chenyewe sikijui kiviiiiile... yani wanataka kuniambia nilipaswa kuwa bubu...
Wewe Kiingereza unaongea vizuri sana. Inategemea umekunywa kinywaji gani na sehemu gani; Kvant/Konyagi/Hisaje/Facebook
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.


For instance:
“Give me your laptop otherwise I will reveal your dirty secret”
“Give me your laptop unless otherwise I will reveal your dirty secret”

Unless you bring my laptop I will not give you back your book”
Unless otherwise you bring my laptop I will not give you back your book”

Nimeona nipandishe hii mifano ili nieleweke zaidi maana kuna watu humu wanatetea vitu viko wazi kabisa.
Watanzania au wewe ni viwanafunzi vyako sisi ni kiswahili au kikabila tuu
 
Shada ya wabongo wamezoea kukariri tu na kuongea bila aibu halo ya kuwa wanaleta -broken language
 
Sio kwamba watu hawajui...ni mazoea..cha msingi msikilizaji anaelewa nn kinamaanishwa...mbona tunachapia maneno mengi ktk kiswahili....mfano NILIMKUTA HAYUPO..!!

Kingereza chenyewe kina kanuni ya kwamba hasi na hasi haziendan

Mfano huwez kusema I DON'T HAVE NOTHING...unatakiwa useme I DON'T HAVE ANYTHING..sasa angalia ni wazungu wangapi wanakosea....cha msingi ni msikilizaji ameelewa au la!!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app



It is not unlawful= it is lawful.
 
"Unless" ni badala ya neno "If not" shida kubwa tuliyonayo wabongo ni ya walimu wa hovyo wa Lugha. Kingine watu hatupendi kuendelea kujifunza Lugha mara tunapotoka shuleni(tunapomaliza).


Unless= If----not and in certain case means "until when".
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.


For instance:
“Give me your laptop otherwise I will reveal your dirty secret”
“Give me your laptop unless otherwise I will reveal your dirty secret”

Unless you bring my laptop I will not give you back your book”
Unless otherwise you bring my laptop I will not give you back your book”

Nimeona nipandishe hii mifano ili nieleweke zaidi maana kuna watu humu wanatetea vitu viko wazi kabisa.


Huku Tanzania kuna shida nyingi sana:

  • Sabaya.
  • Mbowe.
  • Mauaji ya Petrol.
  • Mauaji ya Mkaa.
  • Tozo
  • na mengine kibao!

Unless otherwise can’t be our priority!
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom