Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,806
- 15,379
Niko hapa katikati ya jiji hili la Dar, kwenye Hoteli moja iliyobadilishwa jina hivi karibuni.
Niko a wageni wangu, na pembeni wapo kina dada wanaojiuza, maarufu kama makahaba. Wapo ambao wameshapata mawindo yao na wengine bado wapo macho juujuu wakisubiri wateja.
Nimejikuta nikijiwa na swali hili, Hivi, iwapo hawa wanawake wanaojiuza watatembea usiku kucha mitaani na kwenye Mahoteli haya makubwa na wasipate wanaume wa kununua hiyo bidhaa yao itakuwaje?
Mimi naamini haitazidi wiki moja watakuwa wameshatafuta shughuli nyingine ya kufanya. Sasa hapa Kahaba ni nani? Mnunuzi au muuzaji?
Niko a wageni wangu, na pembeni wapo kina dada wanaojiuza, maarufu kama makahaba. Wapo ambao wameshapata mawindo yao na wengine bado wapo macho juujuu wakisubiri wateja.
Nimejikuta nikijiwa na swali hili, Hivi, iwapo hawa wanawake wanaojiuza watatembea usiku kucha mitaani na kwenye Mahoteli haya makubwa na wasipate wanaume wa kununua hiyo bidhaa yao itakuwaje?
Mimi naamini haitazidi wiki moja watakuwa wameshatafuta shughuli nyingine ya kufanya. Sasa hapa Kahaba ni nani? Mnunuzi au muuzaji?