everybody
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 337
- 103
Kwa mawazo yangu, kuna mambo ambayo Rais anapokua nje ya nchi akiulizwa ni lazima awe na majibu ya upesi na yaliyo sahihi. Kuna thread humu inazunguka kuongelea jinsi Rais alivyojiumauma alipotakiwa aeleze vipau mbele kwa Africa na nchi yake huko Davos. Kwa kweli hii inasikitisha!
Mimi nadhani kuna tatizo kwenye washauri wake wa mambo ya uchumi, either sio watu makini, au kama ni makini, Rais anajiamini sana na hawapi ushirikiano au hataki kuwauliza, au hataki kuonekana hajui, au washauri wake wanataka awe anaaibika hivyo!
Kwa wale ambao mna data za washauri wake, naomba mtuwekee hapa ili tuweze kujaji credibility zao au ufanisi wao. Wengine unaweza kuta walikuaga walimu wetu huko vyuoni so tunaweza kuwachambua humu.
Mimi nadhani kuna tatizo kwenye washauri wake wa mambo ya uchumi, either sio watu makini, au kama ni makini, Rais anajiamini sana na hawapi ushirikiano au hataki kuwauliza, au hataki kuonekana hajui, au washauri wake wanataka awe anaaibika hivyo!
Kwa wale ambao mna data za washauri wake, naomba mtuwekee hapa ili tuweze kujaji credibility zao au ufanisi wao. Wengine unaweza kuta walikuaga walimu wetu huko vyuoni so tunaweza kuwachambua humu.