Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,304
- 939
Inawezekana huo mkoa unaoongoza kwa maambukizi mmejazana humo au pia inawezekana kwa kua hakuna rate kubwa ya maambukizi kwenye mkoa wenu ndo inachangia msiambukizane kwa kasi ila ukweli ni kwamba wasambaaa hasa wanaume ni mnapenda sana kufanya fanya hovyohovyo na kuzaaa hovyo piaTaarifa ya maambukizi ya ukimwi kitaifa iliyozinduliwa na Jakaya Kikwete 27.march.2013 inaonyesha kuwa mikoa inayoongoza kwa maambukizi ya ukimwi ni Njombe[14.8%], Iringa[9.1%]
Mbeya[9.0%] Shy[7.4%] Ruvuma[7.0%] Dsm 6.9%.
Mikoa ambayo inaongoza kwa kuwa na maambukizi ya chini Lindi na Dodoma 2.9%,Tanga 2.4%, Manyara1.5% kutokana na ripoti hiyo Manyara ndio mkoa katika Tanzania bara ambao maambukizi yapo chini kuliko yote, Pemba 0.3%. masamakwetu Nilitegemea useme hao kwenye hiyo mikoa inayoongoza kwa ukimwi ndio mabingwa kuliko sisi wasambaa, kwa kuongezea tu ni kuwa huwa tunajali sana ....ndom